CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Kama nyie CDM mna jeuri kweli jaribuni kumfukuza Mpambanaji John Shibuda mmuone, Wasukuma wamewasaidia sana nyie CDM ndio a loser Dr Slaa alipata kura nyingi kuzidi kwenu Kaskazini, leo mnamtukana Msukuma mwenzao Shibuda, Mkuu, Shibuda, kaongee na baraza la wazee wa Kisukuma wa kanda ya ziwa kawaeleze yote usifiche kitu wamezoa sana hawa
Kwani CHADEMA msukuma ni yeye tu....Sheikh Makani yupo muda mrefu...hoja yako dhaifu sana