Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Mfano pale Arusha alikuwepo Mr Shayo mkewe alithibitishwa hawezi kuzaa, akakataa kuachwa au kuwa na mke mwenza sababu ukristo hauruhusu, nako kanisa la RC Arusha hawakuwa na cha kufanya, Mr Shayo alizeeka bila watoto mpaka umauti ukamfika.
Ikitokea umeoa mwanamke ambae kathibitika yeye hawezi kuzaa ila wewe unaweza kutunga mimba, kuna solution ipi ?
Ikitokea umeoa mwanamke ambae kathibitika yeye hawezi kuzaa ila wewe unaweza kutunga mimba, kuna solution ipi ?