R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Na kama kuna kanisa linavunja ndoa nje ya hizo sababu basi ni wazi hawaheshimu dini yao.
Huko mahakamani kumekuwa kimbilio la kwaristo wengi kuvunja ndoa kwa sababu zingine kabisa nje ya hizo mbili.
- Mke anamnyima mume unyumba mwaka, Mwanaume rijali viungo vyake vimeumbwa na Mwenyezi Mungu kuwa active na ni ngumu kukaa hata wiki 2 bila kushiriki tendo, Huko kanisani anaambiwa avumilie, anaona sheria za kikrtisto ni za mdomoni tu heri akimbilie mahakamani
- Mke hawezi kuzaa ama mume hawezi kutunga mimba, huko kwao wazazi wake wanataka mjukuu lakini ni mwaka wa tano sasa bila bila, anaona sheria za kikristo zipo mdomoni tu kiuhalisia haziwezi kutendeka, huyooo mahakamani
- Mke anachukia ndugu na mama wa mme wake, imewahi kufikia hatua mpaka kutaka kumwekea mama wa mme wake shumu kwenye chakula, mume anaona hili ni balaa, huko kanisani anaambiwa wavumiliane, Mwanaume anaona hizi sheria za kikristo ni za mdomoni tu anakimbilia mahakamani.
Huko mahakamani kumekuwa kimbilio la kwaristo wengi kuvunja ndoa kwa sababu zingine kabisa nje ya hizo mbili.
- Mke anamnyima mume unyumba mwaka, Mwanaume rijali viungo vyake vimeumbwa na Mwenyezi Mungu kuwa active na ni ngumu kukaa hata wiki 2 bila kushiriki tendo, Huko kanisani anaambiwa avumilie, anaona sheria za kikrtisto ni za mdomoni tu heri akimbilie mahakamani
- Mke hawezi kuzaa ama mume hawezi kutunga mimba, huko kwao wazazi wake wanataka mjukuu lakini ni mwaka wa tano sasa bila bila, anaona sheria za kikristo zipo mdomoni tu kiuhalisia haziwezi kutendeka, huyooo mahakamani
- Mke anachukia ndugu na mama wa mme wake, imewahi kufikia hatua mpaka kutaka kumwekea mama wa mme wake shumu kwenye chakula, mume anaona hili ni balaa, huko kanisani anaambiwa wavumiliane, Mwanaume anaona hizi sheria za kikristo ni za mdomoni tu anakimbilia mahakamani.