Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Kwani wao ndio wanatulazimisha tusiwekeze kwenye tijaMabeberu Lazima tuwalaumu wakituchelewesha
Kwani wao ndio wanatulazimisha tusiwekeze kwenye tijaMabeberu Lazima tuwalaumu wakituchelewesha
Kwani wao ndio wanatulazimisha tusiwekeze kwenye tija
Kwann msingizie wengine juu ya kushindwa kwenu.Uko wapi umeme wa gas mlisema ndio ufumbuzi wa shida ya umeme.Huoni tumewekeza Sehemu zenye tija km umeme wa rufiji ila Mabeberu yanaupiga vita!
Hawana faida kwa kizazi cha sasa ndio wametuletea shida zote hiziNaona tumadhubutu kuwaweka hao wazee kwenye mikono ya corona.
Chukueni nchi basi BAWACHA tuone na nyie mtakachofanyaKwa wapuuzi kama wewe. Sherehe ya mamillioni inawasaidia vipi Wafanyakazi, wakulima na wafanyabiashara ambao wananyanyaswa na kudhulumiwa na serikali hii dhalimu!?
Upuuzi unazidi KUSHAMIRI Nchini.
Uniqueness yake ni kwa vile walikua Ikulu tu. Ila sasa watakosa maana. Nimemsikia Kikwete anasema wakiwa wengi na yeye atagawa kwa wengine.Hivi hao ndege wana nini unique?
Chukueni nchi basi BAWACHA tuone na nyie mtakachofanya
Uniqueness yake ni kwa vile walikua Ikulu tu. Ila sasa watakosa maana. Nimemsikia Kikwete anasema wakiwa wengi na yeye atagawa kwa wengine.
Ni vile yale madume na kuchanua ile mikia inaleta raha kwa senses. Ni kama wapo kwa Decoration zaidi.
Hivi kulikuwa/kuna ‘katazo’ kuwafuga Tausi kiraia.?
Hivi wanazindua ujenzi wa Ikulu au jengo jipya la Ikulu!
Ungewapatia wapi mpk uwafuge?
Jibu swali, hata kwa kuwaiba kokote... kwani walikuwa Magogoni tu.?
Ukiacha Magogoni ulishawahi kuwaona wapi pengine?
Hata Karimjee walikuwepo.Ukiacha Magogoni ulishawahi kuwaona wapi
pengine?
No corona, kama ingekuwepo basi hao watu wote wataambukizwaNaona tumadhubutu kuwaweka hao wazee kwenye mikono ya corona.