Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Wamefurahi kwa nini?JK kasalimiana na waliokaa Jukwaani baada ya kupigiwa mizinga 21 pamoja na wimbo wa taifa kuimbwa lakini kilichowafurahisha wengi ni yeye kusalimiana na Mama Salma Kikwete.
Gwaride linaanza
Huyo rahisi haoni aibu kwa serikali yake ya kifisadi.