Iteitei Lya Kitee
JF-Expert Member
- Jan 2, 2008
- 586
- 46
Mkapa wetu vp jamani?
Sikukuu za mwaka jana hakuonekana na hizi tena?
Sikukuu za mwaka jana hakuonekana na hizi tena?
Uhuru hatukuutwaa/pata/pewa/nyakua 1961 maana bado Malkia alikuwa ndio Mkuu wa Nchi yetu na Nyerere alikuwa ni mwakilishi wake!
JK kasalimiana na waliokaa Jukwaani baada ya kupigiwa mizinga 21 pamoja na wimbo wa taifa kuimbwa lakini kilichowafurahisha wengi ni yeye kusalimiana na Mama Salma Kikwete.
Kenyatta kaandika kitabu: "Not Yet UHURU". Is it not applicable to us?
Jamani tuwe fair, Mkapa yupo Kenya akishughulikia mgogoro wa DRC na jana ndo kikao mhimu kilikuwa kinafanyika. Ni sahihi kumshutumu Bw. Mkapa kwa makosa aliyoyafanya lakini si haki kufanya hivyo pasipo sababu.
Mkuu share nakubaliana nawe kabisa, lakini sijui kama picha hiyo itakuwa imemfikia Mkuu wa kaya maana washauri wake na wapasha habari wake bila shaka wanamdanganya kila siku. Wananchi wa Tanzania siyo wale wa enzi za zidumu fikra za Mwenyekiti, sasa hivi tunatumia ubongo wetu japo kwa kiasi kidogo.
Mkapa wetu vp jamani?
Sikukuu za mwaka jana hakuonekana na hizi tena?
Angekuwa kenya akishughulikia hiyo migogoro yao bila uhuru wa tanganyika kuwepo? nini kimempa hata hako kanafasi kama sio uhuru wa tanganyika? maelezo mazuri ila bado hayajitoshelezi kutete hoja i li hapa jamvini