Sherehe za Muungano bila Amiri Jeshi Mkuu ni sawa?

hata kuzindua sijui kupuyanga U.S Waziri wake wa utaliii na nyanja husika plus board zingemaliza tu huo mchezo. unajua tabu mkishauriwa vema mnaona kama ni attacks! Yaani unaona sherehe ama maadhimisho ya Muungano is nothing? sovereign ya Nchi inatokana na nini?

Yaani mimi aende yeye, aende waziri wake kwangu yote sawa. Sherehe za muungano zifanyike ama zisifanyike, rais awepo nchini au asiwepo kwenye hiyo sherehe, kwangu ni sawa tu. Kwakuwa ww uko serekalini na kwa namna moja au nyingine unafaidika na hiyo sherehe ni lazima uone tatizo. Ila kimsingi ni sherehe ya kawaida mno boss.
 
Anarudi leo.. kesho atakuwepo kwenye sherehe za Muungano halafu Tarehe 28 atahudhuria Royal Tour ARUSHA
Hivi mafaili huwa anayapitia saa ngapi?maana mwenzie jiwe aliwahi kutuambia alikua analala na mafaili kitandani pamoja na usiriazi wake wote ule.
 
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
Yupo Dr Hussein mwinyi wa mkuranga
Huyu ndiye rais wako
 
Ni sherehe zilizo kimazoea tu lakini hakuna lolote la maana zaidi ya watu wa serekalini kupiga imprest.
Enzi zile Sherehe fulani ya Kitaifa ilipangwa kufanyika Mkoa wa Simiyu. Mkuu kaona si vyema ni Bora fedha Ile itumike kwa maendeleo ya wananchi na akawapiga stop wote kwenda huko Simiyu. Sasa kimbembe kuna wahusika toka mikoani wakiwa njiani wakapata hiyo taarifa na imprest wameshakula tayari. Ilikuwa patashika nguo kuchanika. Watazirudishaje hizo pesa na wanajua fika jamaa keshawaambia watabanwa mpaka wazitoe katika tundu lolote kwenye miili yao. Wengine mtashangaa lakini huo ndio ukweri.
 
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
Nani aliyekwambia hatakuwepo?

Majaliwa atoa maagizo kwa MaDC, RC kuhusu sherehe za muungano
 
Dunia nzima kila taifa linasherehekea kuzaliwa kwake.
Tarehe ipi hiyo ya kushere
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
Kukurupuka bila ushahidi imekuwa hulka ya wengi hapa JF siku hizi.
Nani kakuambia Rais Samia Suluhu Hassan hatakuwepo Nchini kwenye Sherehe za Muungano?
 
Tarehe ipi hiyo ya kushere

Kukurupuka bila ushahidi imekuwa hulka ya wengi hapa JF siku hizi.
Nani kakuambia Rais Samia Suluhu Hassan hatakuwepo Nchini kwenye Sherehe za Muu

Umeona sasa, wewe ndo UMEKURUPUKA
Tarehe ipi hiyo ya kushere

Kukurupuka bila ushahidi imekuwa hulka ya wengi hapa JF siku hizi.
Nani kakuambia Rais Samia Suluhu Hassan hatakuwepo Nchini kwenye Sherehe za Muungano?
 
Nilipoandika ilikuwa imetangazwa kwamba Rais Samia ndio atakuwa mgeni rasmi.
Soma hapo link kwa mujibu wa gazeti la Mwanachi.Sikukurupuka.
 
Back
Top Bottom