Sherehe za Muungano bila Amiri Jeshi Mkuu ni sawa?

Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
Utakufa bure kwa sonona uliyekuwa ukimpenda ameshakufa na harudi tena(bila shaka ulimpendea roho mbaya yake) na usiyempenda ndiye yupo tena hadi 2030 sasa jiulize utaumia kiasi gani!
 
Utakufa bure kwa sonona uliyekuwa ukimpenda ameshakufa na harudi tena(bila shaka ulimpendea roho mbaya yake) na usiyempenda ndiye yupo tena hadi 2030 sasa jiulize utaumia kiasi gani!

Hata mashabiki wa Magu(RIP) walikuwa wanasema hivyo hivyo kama wewe usemavyo kwa Samia kuna msemo kwamba nothing is promised in life except death, usisahahu Samia ni mzee tayari she is over 60, …
 
Hilo la kuzindua filamu ni jambo tofauti kidogo na hiyo sherehe iliyopo miaka yote.

Hakuna lolote jipya kwenye hiyo sherehe boss ya kukwazika rais kutokuwepo.

Viongozi wengine waliopo wanaweza kusimamia maadhimisho ya hiyo sherehe bila tatizo lolote kwani nothing special.

Ingekuwa ni msiba wa kitaifa hapo wangalau ungekuwa na hoja, na sio hiyo kukagua gwaride na kutoa hotuba zinazojirudiarudia.
Mkuu ni Kweli hiyo filamu imegharimu 7 bilioni?
 
Hilo la kuzindua filamu ni jambo tofauti kidogo na hiyo sherehe iliyopo miaka yote.

Hakuna lolote jipya kwenye hiyo sherehe boss ya kukwazika rais kutokuwepo.

Viongozi wengine waliopo wanaweza kusimamia maadhimisho ya hiyo sherehe bila tatizo lolote kwani nothing special.

Ingekuwa ni msiba wa kitaifa hapo wangalau ungekuwa na hoja, na sio hiyo kukagua gwaride na kutoa hotuba zinazojirudiarudia.
hata kuzindua sijui kupuyanga U.S Waziri wake wa utaliii na nyanja husika plus board zingemaliza tu huo mchezo. unajua tabu mkishauriwa vema mnaona kama ni attacks! Yaani unaona sherehe ama maadhimisho ya Muungano is nothing? sovereign ya Nchi inatokana na nini?
 
Hilo la kuzindua filamu ni jambo tofauti kidogo na hiyo sherehe iliyopo miaka yote.

Hakuna lolote jipya kwenye hiyo sherehe boss ya kukwazika rais kutokuwepo.

Viongozi wengine waliopo wanaweza kusimamia maadhimisho ya hiyo sherehe bila tatizo lolote kwani nothing special.

Ingekuwa ni msiba wa kitaifa hapo wangalau ungekuwa na hoja, na sio hiyo kukagua gwaride na kutoa hotuba zinazojirudiarudia.
Kwa hiyo majeshi yetu yanatoa amri ya utii kwa kiongozi yoyote tofauti na rais wa JMT?
 
hata kuzindua sijui kupuyanga U.S Waziri wake wa utaliii na nyanja husika plus board zingemaliza tu huo mchezo. unajua tabu mkishauriwa vema mnaona kama ni attacks! Yaani unaona sherehe ama maadhimisho ya Muungano is nothing? sovereign ya Nchi inatokana na nini?
Mbona hamkumwambia haya mungu wenu wa Chato?
 
Mama na wanzanzibari wote wanatambua siku ya kuzaliwa jamhuri ya Zanzibar dec 12 zaidi. Haya Kazi iendelee .
 
Hizo sherehe zina manufaa gani na mtoto asiekuwa na dawati na dawa na choo ?
Hela zinapigwa kijinga sana
Kila sherehe hela zinatumika tu bila mpangilio

Magu kwa Hilo aliliweza tumpe hapo
Alikuwa anaamua tu zielekweze mahali fulani
Nasema uongo
 
Back
Top Bottom