Sherehe za kumuaga Samweli Sitta zavurugika Dodoma

Sherehe za kumuaga Samweli Sitta zavurugika Dodoma

CCM nao!,sasa ndo nini kumsema mkeo tena mbele za watu kwamba humtaki?!

Ona sasa kakasirika!
 
Kwanini Sitta anaagwa?Kwani anachia madara au anakwenda kufanya majukumu mengine?naomna nifaamishwe jamani
 
Wakuu naomba tujuzwe chanzo chake cha habari mbona watu waliokuwepo kwenye hiyo sherehe wamesema siyo kweli.
 
hisani ya wavuti.com
890_orig.jpg
 
kumbe siku nyingi CCM walishakuwa magaidi?Sasa huo wimbo,kauli ya Pinda bungeni na yaliyotokea Arusha(soweto na Olasiti) na kwa mwangosi si yanaendana.
 
Wakuu naomba tujuzwe chanzo chake cha habari mbona watu waliokuwepo kwenye hiyo sherehe wamesema siyo kweli.
Chanzo ni mimi nilikuwepo, aliyemvuta Mbatia na kumzuia asitoke getini ni Nyambari Nyangwine, Idd Azzan na wengine , wewe umeongea na nani ili nikujuze kama alikuwepo ama laa.........
 
ONLY IN TANZANIA.
Spika mstaafu wa bunge liloisha mwaka 2010 aagwa leo 2013 miaka mitatu toka amalize utumishi wake na miaka miwili kabla ya kupata spika mwingine. Haaaa haaa Tanzania ina maajabu yake mengi bana kila uchwao wanaibuka na yao

IMG_0080.JPG

Siyo kwamba walikuwa wanajipongeza kwa yaliyotokea A town?
 
Nchi imekuwa shamba la bibi, na ni hapa ndipo tunapojikwaa kama taifa. Lack of commitment and very bad leadership
 
Hawa wote 2 Yaani Waziri Mkuu Mh. Punda Mizengwe na Spika Mh. Makinda ya Ndege na Huu aliyewagwa Mh. Sita na kumi na nane Hawana akili timamu
 
Back
Top Bottom