Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Hii ndiyo Tanzania na huyu ndiye Waziri Mkuu wetu. Safari ni ndefu.
Kama Spika, japo tukio limechukua muda mrefu sana mpaka ameshasahau kuwa alikuwa Spika,
Wote walioshangilia kupigwa hawana akili ya kujuwa nini kifanyike wapi...Tatizo sio wimbo wa nani ila ni maudhui ya wimbo na hadhira kusudiwa, hivi unaendaje kuweka wimbo wa wapinzani wakija tuwachanechane tuwatupe , kwenye sherehe za kuaga spika aliyekuwa na wabunge wa upinzani na hao wa Ccm? Huu ni ujinga uliopindukia , sasa waliachiwa chakula chao walifurahia kula chote wenyewe?
,yaani wanamuaga kama spika then wanapiga nyimbo za chama,kwani alikuwa spika wa chama?
DJ nae ni mtata
Hii nyimbo ingekuwa ni ya CUF au NCCR au TLP, DP, UDP ingekuwaje?
Hii nyimbo ingekuwa ni ya CUF au NCCR au TLP, DP, UDP ingekuwaje?
Si ajabu ukasikia bajeti ilikuwa milioni 34.........walimwaga kama nani?
anaenda kufa au?
kwa pesa za nani kumwaga?
Pinda ana akili finyu sana ukichanganya na ugonjwa anaoumwa basi ndo anakuwa kama msukule kabisaaa
Nadhani sasa ugonjwa unaadhiri mfumo wa fahamu..msameheni bure...
Nawasiwasi labda DJ aliogopa,maana mtoa hoja si alisema usipo tii sheria bila shuruti utapigwa?DJ alitumika tu... Mtoa amri ndo wa kumshangaa kwa maamuzi yake