Wakati Pinda anakaribishwa alianza kwa kusema CCM hoyeee......mara kajishitukia akasema ila kwani hata nikisema hivyo kuna nini si ni salamu zetu? .........hiii ni dalili za wazi jinsi walivyo na chuki za ndani na watu ambao sio CCM .....
hivi katika zawadi ya kumpa sitta ndo iwe tv?
akili za kichen pati zinaimaliza ccm
Ishu inayoongelewa hapa ni kuvurugika kwa sherehe baada ya watu wa ccm kunyea kambi.
Wewe unaleta habari zingine za kulialia hapa.
Halafu jamaa anayeitwa Kangol kule anamlaumu Sugu kwa kumwita Pinda MPUMBAVU!
Ni ustaarabu huo sasa?
ukistaajabu ya pinda
utashangaa ya makinda
Jana kulikuwa na sherehe za kumuaga Samweli Sitta ,Spika za zamani wa Bunge zilivurigika baada ya Spika wa Bunge na Pinda kuamuru zipigwe nyimbo za Komba na mmojawapo uliopigwa ni ule wa ....wapinzani wakija tuwachanechane tuwatupe... Wimbo huu uliamsha hasira za wabunge wa CUF ambao waliamua kuondoka kwenye sherehe hizo bila kula chakula kilichokuwa kimeandaliwa.
Mbatia naye alitaka kuondoka ila akashikwa mkono na wabunge wa CCM naye bila aibu alirejea kwenye sherehe hizo , ila wabunge wa CUF waliamua kuondoka moja kwa moja pamoja na zawadi waliyokuwa wamemwandalia Sitta.
wabunge wa Chadema ,hawakuwepo hata mmoja.
----------------------------
![]()
Kuolewa mateso matupu mume anafanya anavyotaka anajua utarudi tu. Poleni walibe
ni aibu,In fact alipaswa apewe kinyago cha tembo mzee akakiweke kama kumbukumbu hivyo vyote anavyo wanadhani anaenda kuanza maisha? Halafu kitchen party ya uswahilini fungua tuone kilichomo.... sie tunaofanya gazi LG tumekasirika