Jana kulikuwa na sherehe za kumuaga Samweli Sitta ,Spika za zamani wa Bunge zilivurigika baada ya Spika wa Bunge na Pinda kuamuru zipigwe nyimbo za Komba na mmojawapo uliopigwa ni ule wa ....wapinzani wakija tuwachanechane tuwatupe... Wimbo huu uliamsha hasira za wabunge wa CUF ambao waliamua kuondoka kwenye sherehe hizo bila kula chakula kilichokuwa kimeandaliwa.
Mbatia naye alitaka kuondoka ila akashikwa mkono na wabunge wa CCM naye bila aibu alirejea kwenye sherehe hizo , ila wabunge wa CUF waliamua kuondoka moja kwa moja pamoja na zawadi waliyokuwa wamemwandalia Sitta.
wabunge wa Chadema ,hawakuwepo hata mmoja .
mimi bado naamini cuf ni chama imara cha upinzani. ieleweke kuwa kuunda serikali ya pamoja znz kulitokana na mpasuko mkubwa wa kisiasa na umoja uliyokua umeitawala znz. kutoshirikiana na chdm vizuri kumetokana na chdm kuwabagua ktk serikali ya upinzani. wamejikuta kwenye makutano lkn ni watu wenye hoja. kama chdm inahitaji kufanya vizuri na kuiarisha upinzani, lazima ishirikiane na cuf
ugonjwa gani? kumbe ni mgonjwa!!!Pinda ana akili finyu sana ukichanganya na ugonjwa anaoumwa basi ndo anakuwa kama msukule kabisaaa
Tatizo sio wimbo wa nani ila ni maudhui ya wimbo na hadhira kusudiwa, hivi unaendaje kuweka wimbo wa wapinzani wakija tuwachanechane tuwatupe , kwenye sherehe za kuaga spika aliyekuwa na wabunge wa upinzani na hao wa Ccm? Huu ni ujinga uliopindukia , sasa waliachiwa chakula chao walifurahia kula chote wenyewe?
Mzee Punda
anaumwa ugonjwa gani jameni?
Hilo sijui, ila nafikiri kilimuuma kwani yeye wakati wake alifanya kazi na wapinzani bila kuwabagua sana na alikuwa akiwashirikisha sasa anaagwa na sherehe yake inaharibiwa makusudi ni dalili za wazi kuwa Spika Anna hakua anataka sherhe hizo zifane na zimalizike kwa furaha kwani wangepewa fursa ya kupongeza si ajabu wangemwagia sifa Six , so dawa ni kuwaudhi waondoke ili asije akapata credit kutoka kwa wapinzani ,Sita alikuwa macho kweli?? Hivi ile ofisi ya Bunge aliyojengea kijijini ikoje?
pinda ana akili finyu sana ukichanganya na ugonjwa anaoumwa basi ndo anakuwa kama msukule kabisaaa
Kama Spika, japo tukio limechukua muda mrefu sana mpaka ameshasahau kuwa alikuwa Spika,walikuwa wakimuaga kama spika ama mbunge?
Jana kulikuwa na sherehe za kumuaga Samweli Sitta ,Spika za zamani wa Bunge zilivurigika baada ya Spika wa Bunge na Pinda kuamuru zipigwe nyimbo za Komba na mmojawapo uliopigwa ni ule wa ....wapinzani wakija tuwachanechane tuwatupe... Wimbo huu uliamsha hasira za wabunge wa CUF ambao waliamua kuondoka kwenye sherehe hizo bila kula chakula kilichokuwa kimeandaliwa.
Mbatia naye alitaka kuondoka ila akashikwa mkono na wabunge wa CCM naye bila aibu alirejea kwenye sherehe hizo , ila wabunge wa CUF waliamua kuondoka moja kwa moja pamoja na zawadi waliyokuwa wamemwandalia Sitta.
wabunge wa Chadema ,hawakuwepo hata mmoja .