Sherehe za kumuaga Samweli Sitta zavurugika Dodoma

Sherehe za kumuaga Samweli Sitta zavurugika Dodoma

Ivi kumuaga maana yake hataruhusiwa tena kugombea uspika au ndo wanamstaafisha kisiasa!? Maana walianza kwa kumwambia akagombee uspika kama jinsia yake ni yakike! Sasaivi wanamuaga kuwa spika huku ndotoyake ni kuendelea kuwa mmbunge! Jamani CCM msimuonee mheshimiwa sita!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
sherehe ya wachawi inaendelea, wachawi mnapongezana kwa kunywa damu mliyomwaga hapa SOWETO Arusha.
Sisi tunazika na tutaendelea kuzikana sana ila mtaua miili tu, roho zetu hamziwezi kuziua kamwe.
 
Ukweli ni kwamba bila kuwepo kwa Cdm kule Bungeni ccm wanaona kama vile waliobaki wote ni mabogozo!
Cdm wangekuwepo hata wasingethubutu kugusa jambo hilo, maana wanajua kuwa wangekumbana na maneno yanayoudhi.
Imagine mtu kama mzee Cheyo unadhani ana jeuri ya kuondoka hata wakimtia vidole vya machoni?
 
Hapa napita tu, maana hata umbea humu huwa story.
 
Pinda ana akili finyu sana ukichanganya na ugonjwa anaoumwa basi ndo anakuwa kama msukule kabisaaa

Wakuu kwani Pinda anaumwa nini Jamani!!!!
Maana ile Afya kwa kweli ashukuru sana suti
 
Kwa hiyo ulikua ugomvi wa mume (ccm) na mke (cuf).... hayo ni mambo yao ya ndoa, yanawahusu wenye wanandoa...
 
Nasikia samweli sitta alikuwa anaagwa,sherehe ya kuagwa kwenda wapi? Maada zilizopo hazijajadili sitta alikuwa anaagwa kwa safari ya wapi au kuagwa kwa lipi,ila kilichosemwa ni tukio lililoingilia sherehe hiyo! Atujuze anayejua sherehe ilikuwa ya nini,na ilijumuisha wabunge gani?
 
Jana kulikuwa na sherehe za kumuaga Samweli Sitta ,Spika za zamani wa Bunge zilivurigika baada ya Spika wa Bunge na Pinda kuamuru zipigwe nyimbo za Komba na mmojawapo uliopigwa ni ule wa ....wapinzani wakija tuwachanechane tuwatupe... Wimbo huu uliamsha hasira za wabunge wa CUF ambao waliamua kuondoka kwenye sherehe hizo bila kula chakula kilichokuwa kimeandaliwa.

Mbatia naye alitaka kuondoka ila akashikwa mkono na wabunge wa CCM naye bila aibu alirejea kwenye sherehe hizo , ila wabunge wa CUF waliamua kuondoka moja kwa moja pamoja na zawadi waliyokuwa wamemwandalia Sitta.

wabunge wa Chadema ,hawakuwepo hata mmoja .


Wazazi tuwe makini na haya majina tunayowapa watoto wetu. Wengine yanazungumzia uhalisia wao.

Pinda kitu kilichopinda....

mbatia...kukumbatia au kukumbatiwa....

kazi kweli kweli hapa...nimepita tu hapa
 
Nasikia samweli sitta alikuwa anaagwa,sherehe ya kuagwa kwenda wapi? Maada zilizopo hazijajadili sitta alikuwa anaagwa kwa safari ya wapi au kuagwa kwa lipi,ila kilichosemwa ni tukio lililoingilia sherehe hiyo! Atujuze anayejua sherehe ilikuwa ya nini,na ilijumuisha wabunge gani?


Ni magamba yanajisafisha kwake kwa mizengwe waliyomfanyia ili aingie bi Makinda na sasa wamejua waliruka mkojo wa Sitta wakatua kwenye mavi ya Makinda. Ni nafsi zinawasuta tu kwa sasa na wanajikosha na bi kiroboto keshajua kiti kimemshushia hadhi na heshima aliyokuwa nayo kwa wajukuu zake walioko bungeni.
 
Naona Sitta alikuwa na Mwandani wake Kushoto, sijui Makinda siku ya Kuagwa atakuwa nani?
 
CCM nouma....hi ndio hii ya 6?

original-picture-of-the-last-supper.jpg
 
Back
Top Bottom