ukali huu nahisi mgeni mwenyewe ndio huyu:A S 465:we unalako jambo hutaki wageni wa sikukuu kisa hujajiandaa unaanza kuleta zengwe!!we una uhakika gani kama ni bwabwa??acha roho mbaya wewe unaonekana ni selfish mkubwa na mchoyo sana...i hate you!!huwezi kumuita mtu gay wakati hujaweka proof hapa..watu wana akili zao bwana!!
kama hutaki akutembelee sikukuu basi si vyema umchafue!mbona dada yake umempenda??acha hizo!kwani unavyumba vingapi kwako??na kama huna za sikukuu useme wana jf tutakuchangia!
sikukuu njema na uache u selfish!huyo ni shemeji yako muheshimu kama mdogo wako mwingine yoyote!!
lalanaye mwenyewe!!!
Habari za weekend waheshimiwa? Ni hivi nina shemeji yangu (mdogo wa kiume)kwa my wife wangu ambaye c rizki watu wanamuhemea mgongoni/gay ambaye anataka kuja kunitembelea ckukuu ya pasaka,binafsi kichwa knauma. je? Gay huyu alale chumba cha mtoto wangu wa kike au wa kiume.
Mlaze nje mwaya asikuharibie watoto
simple solution...usiruhusu akaja kuwatembelea, mwambie ukweli kuwa kutokana na tabia yake ya u-gay, hupendi aje nyumbani isije ikaleta madhara ya kiakili na kisaikolojia sikwa watoto, wewe mwenyewe bali hata kwa majirani na watu mnaoheshimiana nao. Imagine rafiki zako wakijua pasaka hii mnakula meza moja na shoga? hapo kwako watakuja?
Ushauri mzuri sana huu, asikanyage kabisa hapo kwako kama una uhakika ni gay. Tena umwambie kabisa sababu ya wewe kukataa kuja kwako ni hiyo tabia yake usimfiche
habari za weekend waheshimiwa? Ni hivi nina shemeji yangu (mdogo wa kiume)kwa my wife wangu ambaye c rizki watu wanamuhemea mgongoni/gay ambaye anataka kuja kunitembelea ckukuu ya pasaka,binafsi kichwa knauma. Je? Gay huyu alale chumba cha mtoto wangu wa kike au wa kiume.
lala nae
huyo sio mtoto tena lazima alale chumba cha wakubwa yani chenu unless kama una vyumba vya watu wazima..??
jamani huu si unyanyapaa?
Nafikiri kabla ya kuuliza alale vipi....tatueni tatizo lake kwa kumpeleka hospital na kwenye maombi. Kwa hapa JF wasiliana na P.DIDY huwa anaombea watu wa aina hiyo
nguli huyu sio wa kuombewa kwanza anatakiwa aangaliwe wafanye maping ya ukoo wao yawezekana kuna babu ama bibi alikuwa lesbian so ni lazima uvunje laana ya nyuma kwanza unaweza ombea huyu aakaaacha mwanae huyu jamaa akawa bwabwa tukawa tunacheza so awe muwazi kwanza kuna mtu kama huyu kwenye vizazi vyao vya nyuma..maana ajue yule mke ana damu moja na huyu bwabwa ..so unaweza ona bwabwa wakakua wako ikahamia ukajiuliza ni wapi tatizo ....ani pm nimwonyeshe vipengele vya kujitoa na huu uchafu ...
jamani huu si unyanyapaa?