Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,076
- Thread starter
- #141
Ok,nitampa kitaaKwani lazima umkaribishe nyumbani kwako mtu ambaye tayari anakunyima amani?. Mwambie hamtakuwepo basi kwani lazima aje?
Nasema hivi kwa sababu hujui litakalokupata kwani hawa wana kuwa controlled na spirit za Ushoga. Akija hapo anaweza kuja na hizo spirit akawaambukiza watoto wako au wewe hivyo try to be very careful