masssaiboi
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 636
- 132
Hasije kabisaaaaaa=!!!!!
Ukimkaribisha nyani shambani utavuna..........................????!?!!!!!
Ukimkaribisha nyani shambani utavuna..........................????!?!!!!!
kwa usalama zaidi, amlaze na mtoto wa kike,
kwani wakiwa pamoja huko anajiona kama binti,
mwisho wa siku hakuna kitakachotokea!
Sikumaanisha kwamba anaweza kukwambia kweli...ishu ni kwamba hawezi kutamani ndugu unless ni mgonjwa!
mmmh,Lizzy unawajua hawa watu vizuri au unawasikia tu?
Habari za weekend waheshimiwa? Ni hivi nina shemeji yangu (mdogo wa kiume)kwa my wife wangu ambaye c rizki watu wanamuhemea mgongoni/gay ambaye anataka kuja kunitembelea ckukuu ya pasaka,binafsi kichwa knauma. je? Gay huyu alale chumba cha mtoto wangu wa kike au wa kiume.
Chumba cha wageni hakuna ndugu yanguhawana displine ao
usije kuta anapandisha siku moja moja na ASIJE AKAMPANDSHIA MTOTO WAKO
DAH AKUNA CHUMBA CHA WAGEN?
Cna chumba cha ziadaicho anachokifanya tu ni ugonjwa tayar
sokuataman ndg pia si shda kwake
pls asilale na mtoto wa kiume..anaweza ata akamwomba amkwee na ivyo kuleta pcha /mbegu mbya kwa mtoto
atafutiwe chumba chake na uwe makin na watoto wako
Ndugu yake atamind nikim BanKwangu mimi haruhusiwi kukanyaga. Ushemeji gani huo wa kukaribisha mashetani nyumbani???
Piga BAN
Bora nikampangie guestmi naoana kama haitaleta picha nzuri kwa watoto wake mana akimlaza na wakike atajiuliza mhh kwani uncle vp mbona analala na yeye, na mtoto wako wa kiume pia atashangazwa vp sister kulala rum mmoja na uncle..kama vp bora hata ukamkodie kaguest kama hamna rum ingine ya ziada
Ndugu yake analazimisha aje, amuone eti amemiss sanamwambie hata aisije aende zake huko!
hahahahahahaaaaaaaa kha!chumba kimoja alale binti na mama yake, chumba cha pili lilale shoga , wewe na kijana wako, ila wewe itabidi ulale katikati baina ya shoga na kijana ili just in case shoga likianza upopobawa wake likurukie wewe na kijana asalimike , aje kutetea katiba mpya bungeni.
naitwa klorokwini.
Hahahaha hii katuni yako dah! Nimecheka sanaTafuta net alale living room.:couch2: