ginyisi
Senior Member
- Apr 6, 2023
- 148
- 261
habari wana jamii forum, natumain mu wazima. Naomba nisiwachoshe, mniruhusu niende Moja kwa moja kwenye mada.
Ni miaka mitatu sasa tangu tumpate mtoto wetu wa kwanza, shemeji yangu ambae ni mdogo wake wa kike wa mke wangu alikuja kwa ajili ya kumsaidia kumlea mtoto, akitokea mkoani. Akiwa binti mdgo na kama unavojua ndugu msomaji Binti kutoka bush kuja Dar vile wanavokuwa, basi kwa ufupi hakuwa na mvuto wowote, basi tuliishi vizuri na nilimpenda sana kutokana na alikuwa mpole na mwenye heshima iliyopitiliza yaani nikiwepo nyumbani haongeagi na kadri muda ulivozidi kwenda nilifanikiwa kumfanya awe huru kiasi.
Maisha yangu ya kisela nimepanga chumba na sebule ko yeye shemeji analalaga sebleni na Mimi na mke wangu tunalala chumbani, basi Kuna siku nmeamka usiku, kufika sebleni nilikutana na kitu kilichonishangaza sana na ndicho kinachonisumbua mpaka leo (ndgu msomaji nilishuhudia upaja wa shemeji akiwa usingizini na shuka lilikiwa limemshuka kwa maana paja lilikiwa linaonekana mashallah shemeji yangu) basi nilibaki nmeduwaa nikishuhudia tukio hilo kwa takribani dakika 10 iv, badae nikaondoka zangu lakini kwa wanaume....washajua hali inavokuwa apo.
Kutoka siku hiyo nmekuwa nikimtazama shemeji yangu kwa jicho jingine kabisa, kwani amekuwa mkubwa sasa na anavutia sana kuanzia shepu (mzigo anao na chuchu dodo) na huo ndio udhaifu wangu kwake mpaka nashindwa kujizuia.
Mbaya zaidi yeye pia hajui kuficha alichojaaliwa, maana anavaa suruali imembana na kifuani hafichi chochote,, na muda mwingine anavaa kanga huku ndani najua kabisa ipo aidha chupi au taiti tu, ko nakula kwa macho mpaka nakosa ujasiri wa kumtazama pindi tukiwa pamoja na dadake, na dadake hajawahi kufikiria njia ya kumsitiri mdgo wake na Mimi siwezi kumwambia chochote maana atanielewa vibaya.
Kuna mda natamani aondoke pale nyumbani ili niokoe ndoa yangu lakini naanzia wapi ataona kama nachukia ndgu zake ikiwa alikuja kutusaidia kumlea mtoto wetu?
Ni miaka mitatu sasa tangu tumpate mtoto wetu wa kwanza, shemeji yangu ambae ni mdogo wake wa kike wa mke wangu alikuja kwa ajili ya kumsaidia kumlea mtoto, akitokea mkoani. Akiwa binti mdgo na kama unavojua ndugu msomaji Binti kutoka bush kuja Dar vile wanavokuwa, basi kwa ufupi hakuwa na mvuto wowote, basi tuliishi vizuri na nilimpenda sana kutokana na alikuwa mpole na mwenye heshima iliyopitiliza yaani nikiwepo nyumbani haongeagi na kadri muda ulivozidi kwenda nilifanikiwa kumfanya awe huru kiasi.
Maisha yangu ya kisela nimepanga chumba na sebule ko yeye shemeji analalaga sebleni na Mimi na mke wangu tunalala chumbani, basi Kuna siku nmeamka usiku, kufika sebleni nilikutana na kitu kilichonishangaza sana na ndicho kinachonisumbua mpaka leo (ndgu msomaji nilishuhudia upaja wa shemeji akiwa usingizini na shuka lilikiwa limemshuka kwa maana paja lilikiwa linaonekana mashallah shemeji yangu) basi nilibaki nmeduwaa nikishuhudia tukio hilo kwa takribani dakika 10 iv, badae nikaondoka zangu lakini kwa wanaume....washajua hali inavokuwa apo.
Kutoka siku hiyo nmekuwa nikimtazama shemeji yangu kwa jicho jingine kabisa, kwani amekuwa mkubwa sasa na anavutia sana kuanzia shepu (mzigo anao na chuchu dodo) na huo ndio udhaifu wangu kwake mpaka nashindwa kujizuia.
Mbaya zaidi yeye pia hajui kuficha alichojaaliwa, maana anavaa suruali imembana na kifuani hafichi chochote,, na muda mwingine anavaa kanga huku ndani najua kabisa ipo aidha chupi au taiti tu, ko nakula kwa macho mpaka nakosa ujasiri wa kumtazama pindi tukiwa pamoja na dadake, na dadake hajawahi kufikiria njia ya kumsitiri mdgo wake na Mimi siwezi kumwambia chochote maana atanielewa vibaya.
Kuna mda natamani aondoke pale nyumbani ili niokoe ndoa yangu lakini naanzia wapi ataona kama nachukia ndgu zake ikiwa alikuja kutusaidia kumlea mtoto wetu?