Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Hivi mnakamuaje hayo mavi?do u guys do some kind of surgical operation or what?Manake kuyafikia hayo mavi na kuyaondoa yote kwenye utumbo siyo kazi rahisi yakhe

Ukitaka mfano hai tutakuonesha, jee uko tayari?
 
faiza foxy, alaaah kumbe, kwani kinachoenda kwenye judgement day ni mwili, mavi au roho???
 
salama yao wayapeleke kwa gwajima pale kawe wakayachoma else yatawaondoa wote wanayoyatumia
 
Unanchekesha, sasa alie namna hiyo na huyo mungu baba yake asimsaidie? bado amuache tu anateseka? Kwa ajili ya nini? eti abebe dhambi zako? ama kweli punguani.
ningependa uje jukwaa la dini-nawe upate ufahamu-
 
faiza foxy, alaaah kumbe, kwani kinachoenda kwenye judgement day ni mwili, mavi au roho???


msiende na mavi jamani msije mkachafua hali ya hewa huko kwa sir god,mie nashangaa kwa hio na mikojo pia wanakamuliwa kuhakikisha kibofu kiko empty au??? lol
 

Shogaangu kakajambazi, si uliahidi utaendelea, mbona umeingia mitini?
 
hii sredi ni kiboko ...yaani nafanya kuchungulia tu kwa mbali sana
 
dah! barabara ya morogoro ili fungwa kwa saa zima leo majira ya saa nane hadi saa tisa ili kuruhusu waandamanaji walio kuwa wameubeba mwili wa Sheikh Yahya kupita ukitokea msikitini kuelekea makaburini maeneo ya karibu na hospital ya Muhimbili.

Hakika safari yake imefana sana hasa kutokana na wasindikizaji wengi walio msindikiza kwenye safari yake ya mwisho, wengi wa wasindikizaji walikuwa wamevaa vibarakashia, sijui ndio kusema hawa watu ndio walikuwa wafuasi wake au kutokana na imani yake?

R.I.P Sheikh Yahya
 
Ukitaka mfano hai tutakuonesha, jee uko tayari?

Bibiye jaribu kujibu maswali kistaarab kama yanavyoulizwa,usijifanye unajua saana lugha za mtaani na matusi,manake yatakushinda hayo.Nauliza;Hivi mnatumia utaalam gani kuyakamua hayo mavi ili mengine yasibaki na maiti awe msafi kama unavyodai?
 
ni kweli Jk kiuongozi kashindwa kabisa, c mchukua maamuzi, can not stand firm on critical decisive matters, hajawahi kukanusha kama halindwi na majini ya marehemu sheikh Yahaya. pamoja na hayo sikubaliani na kashfa dhidi ya jina lake mathalani mtu anamrefer kama "jkiwete"as has done makoye2009, tumpe heshima yake kama binadamu kwa kutamka jina lake inavostahili, tusimdharau na kumkashfu kiasi hiki. great thinkers gani wanatumia lugha ya ajabu dhidi ya binadamu wenzao hata kama wako weak kiuongozi?
 

Mnampeleka nyie malaika bana?
 
hana umaarufu wa kumfanya atupwe baharini

Nina wacwac kaburi lake litakuwa sacred kwa wale aliokuwa anawapatia ulinzi, BTW nimesikia anazikwa pembeni mwa mwalimu wake-kuweni makini.
 
Bibiye jaribu kujibu maswali kistaarab kama yanavyoulizwa,usijifanye unajua saana lugha za mtaani na matusi,manake yatakushinda hayo.Nauliza;Hivi mnatumia utaalam gani kuyakamua hayo mavi ili mengine yasibaki na maiti awe msafi kama unavyodai?

Njia rahisi ni tukuoneshe live shogaangu. Nambie tuu, kama wee ni mwanamme ntakuletea mwanamme mwenzio akuoneshe na kama wewe ni mwanammke natkuja mie mwenyewe nikuoneshe. Kuna zaidi ya ustaarabu kama huo. Wauliza twataka tukuoneshe mfano hai, unanini wewe?
 
That is your own naive assessment of events. Kama unadhani opposition ni CDM pekee, huo ni ubutu wa mawazo ambao wengi wenu mnao. Kwa hiyo jinsi mlivyo superstitious, mkaamini maneno ya kinajimu?
Wewe mkuu mbopo unaonekana una ushabiki wa kitoto sna na you pretend to be analytical.kweli mtu aliyekuwa anataka kuchangia kudumaza demokrasia kwa kutishia watu wasigombee urais nakupata support ya ikulu unamuona shujaa wako? This is pathetic! Waliokuwa wanatishwa hapa ni wagombea wote wa nafasi ya urais na Dr.Slaa included.
 

Bibiye naona mzito kweli kuelewa weye.Hujui niko wapi,unasema uje unionyeshe live?Kumbe mnakamuana mavi hata mkiwa wazima na si maiti tu?Hii kitu mnaifanya siku zote kwenye maiti wenu na unasema iko kwenye imani yenu.Sasa kuna ugumu gani hapo wa kujibu swali langu?Wakati mnakamua mavi hizo maiti,huwa mnatumia utaalam gani ili kuhakikisha kuwa hakuna mavi yatabaki?
 

Unauhakika umati ulikuwa wa binadamu wa kawaida?!, isijeikawa wengi wao walikuwa ni yale majeshi yasiyoonekana yaliyoamua kuonekana leo kwa heshma ya mkulu?!
 
Nimetoka sasa hivi kwenye maziko ya Sheikh Yahya. Yamekwisha ten minutes ago. Nimeshiriki,I even put a little sand on the grave.
Maneno aliyokuwa anasema Sheikh wakati wa mwisho,wakati wamebakia watu 50 au 100,yalikuwa interesting,kwamba,
''Watu wengi wamehudhuria maziko haya,hii inaonyesha kwangu mimi kwamba Sheikh Yahya alikuwa mtu wa kheri. Watu wengi wanakufa lakini watu wacache tu wanafahamu,lakini leo tunaona watu wengi wamefika hapa,hata Ngugu Rais,kiongozi Mkuu wa Nchi,amekatisha ziara yake amefika hapa.
Sheikh Yahya alikuwa mtu mwema,amewapa hela watu wengi na masheikh wengi. Ni nani kati yetu hapa alikwenda kwa Sheikh Yahya hakupata hele,tuseme kweli?
Maziko kama haya huzikwi kama ukiwa mtu wa kiburi,huendi kumtembelea mtu yoyote,,huyu alikuwa mtu mwenye heri.
Pia Sheikh Yahya alikuwa anapenda sana watoto. Walikuwa wanafika nyumbani kwake pale kuchota maji,akithubutu tu mtu kuwafukuza,kuwaambia wanafanya fujo,wanamwaga maji ovyo,Sheikh anatoka ndani anauliza,'Wewe nani unawafukuza,hii nyumba yako/', halafu anawakaribisha watoto ndani,anawapa pesa.''
Kwa hiyo Sheikh Yahya amefariki. Mimi[Andrew], nilikuwa napenda sana maneno aliyokuwa anasema ya unajimu,palmistry na numerology. Haya mambo ni superstitions,lakini superstitions should be investigated kuona kama zina ukweli wowote.
And it is said,unajimu ni very accurate kama unatabiri kuhusu nations au kuhusu celebrities. It is not so accurate kutabiri kuhusu watu wa kawaida.
 

kinachoniuma huyu babu-ni kwamba amedanganya watu wengi sana-
 

Dk. Bilal (koti la kijivu), Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadiki na viongozi wengine wakihudhuria msiba wa Sh. Yahya.



Makamu wa Rais Dk. Bilal, akimpa pole mjane wa marehemu, Kate Yahya.


Dk. Bilal akisshiriki dua ya kumwombea marehemu Sh. Yahya




Makamu wa Rais, Dk. Bilal anapunga mkono akiondoka nyumbani kwa Marehemu Sheikh Yahya

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…