Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

haaa akioza bila mavi ndio anakuwaje kwani???hamna logic ya kumkamua mtu mavi!

Na "alipokufa" yesu walienda kum "anoint", jee wakiristo huwa mna "anoint" watu wakifa au ilikuwa nini ile? Rejea biblia yako utoe jibu. Ukishindwa sema ntakuletea ajibu hapa hapa, kiasi cha kuyakokoa tu yalipo.
 
Wapi tuliposema kasulubiwa? wacha uongo mwanamme mzima hata haya huoni unakuwa fataani?

Hayo maneno uliyosema kuwa Yesu aliyasema i.e "elai elai lama sabakhtani"! aliyasema akiwa msalabani. Sasa kama hata hauamini kuwa Yesu aliwekwa msalabani sioni logic ya wewe kuya-quote wakati hauamini kama alisulubishwa! Ni hilo tu usipanic!
 
Pete moja lazima iende kwa Kikwete ili ulinzi uendelee kuwepo maana aliyekuwa mlinzi wake mkuu ametutoka. Amin

pete nyingine anapewa mkewe mama salma ili aweze kuona na kuondokana na pepo la kusaini chekifeki
 
Hakika hakuna aliyekamilika apa duniani.tumuachie mungu atoe hukumu,course to him every one is a victim. Mungu ampe stahili yake.
 
Na "alipokufa" yesu walienda kum "anoint", jee wakiristo huwa mna "anoint" watu wakifa au ilikuwa nini ile? Rejea biblia yako utoe jibu. Ukishindwa sema ntakuletea ajibu hapa hapa, kiasi cha kuyakokoa tu yalipo.

Kwani ku-anoint ni kukamua ngama?
 
So this means JK ataendelea kuanguka-anguka coz mlinzi wake kaondoka.
 
Nimeshayaamuru KWA JINA LA APHA AND OMEGA majini yote yarudi kuzimu. Yameshindwa.
 
Nimesikia Kiwete akiomboleza kama mtoto ati kwa kuwa kafa Mganga na Mtabiri wake!
Si mnakumbuka mwaka jana kwenye Kampeni pale Jangwani mtu mzima alipiga mweleka akapoteza Network!
Baadaye Mzee Kigagula Sheikh Yahya akasema angelimwekea ULINZI WA JINI USIOONEKANA. Na kweli jamaa baada ya hapo hakupoteza tena network!

Pia mtakumbuka kuna wakti wa mchakato wa kupata wagombea Urais ndani ya CCM na vyama vingine Sheikh akaibuka na MKWARA kuwa yeyote ATAKAYE MPINGA KIKWETE ATAKUFA KIFO CHA GHAFLA!Tukasikia watu kama Shibuda wakifyata mkia wa kugombea nafasi ya Urais ndani ya CCM baada ya mkwara wa mpiga ramli!

Jingine ni lile la Uchaguzi Mkuu wa 2005 ambapo Sheikh alisema Tanzania ingelipata Rais MWANAMKE! Baada ya uchaguzi na Kiwete akashinda kwa kishindo waandishi wa Habari walimfuata Sheikh na kumwuliza kuwa kwanini utabiri wake haukuwa sahihi! Unajua Sheikh Yahya alisema nini? Sikiliza. KWAMBA NI KWELI MSHINDI WA URAIS MWAKA 2005 ALIKUWA MWANAMKE NAYE NI RAHISI KIWETE! Kwamba Kiwete anasifa zote za kike,eti kwamba ni HANDSOMEMWENYE TABASAMU NA MPOLE na anapendwa na watu wengi ndiyo maana alishinda kwa kishindo!!!!!!!!!Tehe!tehe!tehe....! Ama kweli Wapiga ramli bwana!

Lakini baadaye imekuja kujidhihirisha kuwa kweli Kiwete ana TABIA ZA KIKE! Maana kweli ame-prove failure in leadership kwenye nafasi yake ya u-president. Mambo mengi yameenda shaghalabaghala kuanzia kwenye Chama,Serikali,Uchumi,Elimu n.k.
Kwanza baada ya kuapishwa tu mwaka 2005 aliji-suspect mwenyewe pale aliposema WAKTI WOTE NIMEVAA USO WENYE TABASAMU BUT I AM TOUGH ON ISSUES!

Test ya kwanza ilikuwa ni UFISADI WA EPA. Mzee mzima akaanza kuchemsha. Hakuna cha u-tough on issues!Tunajua kilichoendelea,tukasikia Mafisadi wanaombwa na kubembelezwa warudishe pesa walizokwapua na hawatafanywa chochote na ikawa hivyo!Kabla hajakaa sawa likaja hili la RICHMONDULI mzee AKAENDELEA KU-SMILE TU MBELE YA MAFISADI. Serikali yake ikaparaganyika baada ya swahiba wake EL kumwaga manyanga!

Kama vile alikuwa akijaribiwa na hiyo smiling-face yake likaja jingine la RADAR na mzee wa vijisenti, Andrew Chenge akatuhumiwa kuwa alikwa mwizi namba moja kwenye kesi hiyo. Baada ya kubanwa kuwa alikuwa na 2B Tshs kwenye off shore account jamaa akamwaga manyanga. Tukasubiri kuwa TAKUKURU wangeshughulikia kesi ya Rada mpaka mwisho na hatimaye kutiwa hatiani kwa AC. Wapi bwana TAKUKURU wakawa wa kwanza kumsafisha AC kuwa hahusiki na huku JKIWETE akiendelea kuangusha tabasamu KAMA MWANAMKE KABSAAAA!

Pole sana JKIWETE,sijui nani atakutabiria tena!
 
Naomba kuelezwa haya bila jazba:-
1) Ivi mavi pekee ndio uchafu?
2) Wanakua na uhakika gani mavi yote yameisha?

3)Yale mavi yanafanyiwa nini?
4) Akiwa na govi anatairiwa na kuondoa utoko wote?
5) Akiwa na ukurutu, nywele chafu nk nazo hukwanguliwa?
6) Vp kuhusu wanawake? nani huwaosha? kuhusu hedhi? inatolewa yote?
7) Makamasi, je nao sio uchafu?
8) Kama mtu alikua mshirikina na anamachale mwili mzima,,usafi wa kumtoa mavi unasaidia nini?
9) Ivi mavi mbele ya Mungu ni machukizo?
10)Wale wanaokufa na kuungua moto na mavi yao huenda mbinguni/Peponi?

Nitaendelea.

Mkuu umeniwahi.Nami nilitaka kuuliza hayo maswali 3 niliyo bold.Mavi ndiyo uchafu pekee katika mwili wa binadamu?Vipi mnajua kuwa mavi yote yamekwisha mwilini?Kwani akienda na mavi yake tumboni,hawezi kukutana na huyo muumba wake?
 
Naomba kuelezwa haya bila jazba:-
1) Ivi mavi pekee ndio uchafu?
2) Wanakua na uhakika gani mavi yote yameisha?
3)Yale mavi yanafanyiwa nini?
4) Akiwa na govi anatairiwa na kuondoa utoko wote?
5) Akiwa na ukurutu, nywele chafu nk nazo hukwanguliwa?
6) Vp kuhusu wanawake? nani huwaosha? kuhusu hedhi? inatolewa yote?
7) Makamasi, je nao sio uchafu?
8) Kama mtu alikua mshirikina na anamachale mwili mzima,,usafi wa kumtoa mavi unasaidia nini?
9) Ivi mavi mbele ya Mungu ni machukizo?
10)Wale wanaokufa na kuungua moto na mavi yao huenda mbinguni/Peponi?

Nitaendelea.

1) Ivi mavi pekee ndio uchafu?

Hapana.


2) Wanakua na uhakika gani mavi yote yameisha?

Hawana.


3)Yale mavi yanafanyiwa nini?

Yanaliwa kama tulivyoamrishwa kwenye biblia:


Ezekiel 4:12
And thou shalt eat it as barley cakes, and thou shalt bake it with dung that cometh out of man, in their sight.

Isaiah 36:12
Hath my master sent me to thy master and to thee to speak these words? hath he not sent me to the men that sit upon the wall, that they may eat their own dung, and drink their own piss with you?


4) Akiwa na govi anatairiwa na kuondoa utoko wote?

Bahati nzuri waislaam hukatwa govi wakiwa watoto, sijui nyie mnaobaki na magovi mpaka kufa, huwa mnatolewa utoko wote wakati wa kuzikwa?


5) Akiwa na ukurutu, nywele chafu nk nazo hukwanguliwa?

Hapana. Sijui nyinyi wenzetu maana naona huwa mnapakwa make up, sasa sijui ukurutu na m.a.v.u.z.i hutolewa vile vile?


6) Vp kuhusu wanawake? nani huwaosha? kuhusu hedhi? inatolewa yote?

Wanawake huoshwa na wanawake wenzao. Husafishwa kila kitu, na akiendelea kutokwa hedhi huyo hajafa, bado anadai.


7) Makamasi, je nao sio uchafu?

Ndio uchafu. Ukiwa hai au maiti ni uchafu, au wewe mwenzetu unayala?

8) Kama mtu alikua mshirikina na anamachale mwili mzima,,usafi wa kumtoa mavi unasaidia nini?

Sisi hupeleka maiti zetu zikiwa safiii. Ushirikina wake, ni yeye na mungu wake, akisha kufa sisi hatumuhukumu. Jee nyie mnaoshirikisha 3 in 1, inakuwaje?

9) Ivi mavi mbele ya Mungu ni machukizo?

Biblia inatufundisha unaweza kuyala (soma juu hapo), ustaarabu unatufundisha kuwa hata tukinya tunawe (sijui kwa nini). Sasa amuwa wewe, ustaarabu au biblia kuhusu mavi?

10)Wale wanaokufa na kuungua moto na mavi yao huenda mbinguni/Peponi?

Ikiwa wao wameungua moto, jee hayo mavi yao yatabaki?
 
Hayo maneno uliyosema kuwa Yesu aliyasema i.e "elai elai lama sabakhtani"! aliyasema akiwa msalabani. Sasa kama hata hauamini kuwa Yesu aliwekwa msalabani sioni logic ya wewe kuya-quote wakati hauamini kama alisulubishwa! Ni hilo tu usipanic!

Unanchekesha, sasa alie namna hiyo na huyo mungu baba yake asimsaidie? bado amuache tu anateseka? Kwa ajili ya nini? eti abebe dhambi zako? ama kweli punguani.
 
Hivi mnakamuaje hayo mavi?do u guys do some kind of surgical operation or what?Manake kuyafikia hayo mavi na kuyaondoa yote kwenye utumbo siyo kazi rahisi yakhe
 
Unanchekesha, sasa alie namna hiyo na huyo mungu baba yake asimsaidie? bado amuache tu anateseka? Kwa ajili ya nini abebe zambi zako? ama kweli punguani.

Kumbe kilaza tu wewe badala ya kutetea kile ulichosema unajichekesha chekesha..unatafuta bwana nini hapa jf?
 
Imeandikwa: " amelaaniwa mtu yule amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake" due to this, KIKWETE NAYE KALAANIWA!!!!!!!!!!
 
Hakika hakuna aliyekamilika apa duniani.tumuachie mungu atoe hukumu,course to him every one is a victim. Mungu ampe stahili yake.

Mwenyezi Mungu akujalie busara Inshallah
 
Nimesikia Kiwete akiomboleza kama mtoto ati kwa kuwa kafa Mganga na Mtabiri wake!
Si mnakumbuka mwaka jana kwenye Kampeni pale Jangwani mtu mzima alipiga mweleka akapoteza Network!
Baadaye Mzee Kigagula Sheikh Yahya akasema angelimwekea ULINZI WA JINI USIOONEKANA. Na kweli jamaa baada ya hapo hakupoteza tena network!

Pia mtakumbuka kuna wakti wa mchakato wa kupata wagombea Urais ndani ya CCM na vyama vingine Sheikh akaibuka na MKWARA kuwa yeyote ATAKAYE MPINGA KIKWETE ATAKUFA KIFO CHA GHAFLA!Tukasikia watu kama Shibuda wakifyata mkia wa kugombea nafasi ya Urais ndani ya CCM baada ya mkwara wa mpiga ramli!

Jingine ni lile la Uchaguzi Mkuu wa 2005 ambapo Sheikh alisema Tanzania ingelipata Rais MWANAMKE! Baada ya uchaguzi na Kiwete akashinda kwa kishindo waandishi wa Habari walimfuata Sheikh na kumwuliza kuwa kwanini utabiri wake haukuwa sahihi! Unajua Sheikh Yahya alisema nini? Sikiliza. KWAMBA NI KWELI MSHINDI WA URAIS MWAKA 2005 ALIKUWA MWANAMKE NAYE NI RAHISI KIWETE! Kwamba Kiwete anasifa zote za kike,eti kwamba ni HANDSOMEMWENYE TABASAMU NA MPOLE na anapendwa na watu wengi ndiyo maana alishinda kwa kishindo!!!!!!!!!Tehe!tehe!tehe....! Ama kweli Wapiga ramli bwana!

Lakini baadaye imekuja kujidhihirisha kuwa kweli Kiwete ana TABIA ZA KIKE! Maana kweli ame-prove failure in leadership kwenye nafasi yake ya u-president. Mambo mengi yameenda shaghalabaghala kuanzia kwenye Chama,Serikali,Uchumi,Elimu n.k.
Kwanza baada ya kuapishwa tu mwaka 2005 aliji-suspect mwenyewe pale aliposema WAKTI WOTE NIMEVAA USO WENYE TABASAMU BUT I AM TOUGH ON ISSUES!

Test ya kwanza ilikuwa ni UFISADI WA EPA. Mzee mzima akaanza kuchemsha. Hakuna cha u-tough on issues!Tunajua kilichoendelea,tukasikia Mafisadi wanaombwa na kubembelezwa warudishe pesa walizokwapua na hawatafanywa chochote na ikawa hivyo!Kabla hajakaa sawa likaja hili la RICHMONDULI mzee AKAENDELEA KU-SMILE TU MBELE YA MAFISADI. Serikali yake ikaparaganyika baada ya swahiba wake EL kumwaga manyanga!

Kama vile alikuwa akijaribiwa na hiyo smiling-face yake likaja jingine la RADAR na mzee wa vijisenti, Andrew Chenge akatuhumiwa kuwa alikwa mwizi namba moja kwenye kesi hiyo. Baada ya kubanwa kuwa alikuwa na 2B Tshs kwenye off shore account jamaa akamwaga manyanga. Tukasubiri kuwa TAKUKURU wangeshughulikia kesi ya Rada mpaka mwisho na hatimaye kutiwa hatiani kwa AC. Wapi bwana TAKUKURU wakawa wa kwanza kumsafisha AC kuwa hahusiki na huku JKIWETE akiendelea kuangusha tabasamu KAMA MWANAMKE KABSAAAA!

Pole sana JKIWETE,sijui nani atakutabiria tena!

Nyambafu wee! Kwahiyo kwako wewe wanawake ndio wanao prove failure? Kama JK kashindwa ni kashindwa tu sio kwa sababu ana sifa za kike! Umetawaliwa na mfumo dume! Kwa taarifa yako wanawake wako fit ile mbaya kasoro BI KIROBOTO TU!
 
Kumbe kilaza tu wewe badala ya kutetea kile ulichosema unajichekesha chekesha..unatafuta bwana nini hapa jf?

Kilaza ni wewe shogaangu, huna jipya kwangu cha mtoto tu wewe. Umeshindwa kujibu hoja zako mwenyewe, Nashanga!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom