Na leo ndio nimepata siri kwamba huyu Sheikh ubwabwa kumbe alizaliwa Bagamoyo.
Marehemu Sheikh Yahya Hussein kwa asili ni mtu wa Kigoma, Tanganyika. Ukaribu wao na Mkulu ni ktk masuala aliyosema Marehemu Sheikh Yahya ya kumpatia ulinzi wa 'ziada' mbali na ule wa serikali..