Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Wajameni niko maeneo ya kinondoni, karibu na msikiti wa mtabani ambapo mwili wa yule aliyekuwa mnajimu maarufu unatarajiwa kuoshwa ikiwa ni maandalizi ya maziko hapo baadae mchana ktk makaburi ya tambaza. Fununu nilizozipata ni kuwa kuna idadi kubwa ya waosha imejitokeza kuuosha mwili huo. Nje ya msikiti watu wanadhani kuwa kujitokeza kwa idadi hii ni kutaka kuondoka japo napete moja kati ya yale mapete yavaliwayo ns sheikh. Wana jf, hizi fununu zaweza kuwa na ukweli?.

acha upupu wewe, nani alikuambia huyo sheikh ataoshwa Mtambani? Hakika vitu vingine huwa vinakera sana. ataoshwa msikiti wa tambaza na kuzikwa makaburi ya muhimbili sasa wewe unapoandika hizi habari unataka nini?
 
samora10,

Acha kudanganya watu habari za kumuosha ni uchimvi mtupu.Semeni wazi Sheikh Yahaya anakamuliwa kinyesi kwamujibu wa taratibu za ~~~**&&&& ili mabikira 80 wampokee vyema.

kama unatype mambo yanayohusiana na imani ya mtu chunga sana kwani utajifurahisha na utakuwa umejichimbia shimo.
 
samora10,

Acha kudanganya watu habari za kumuosha ni uchimvi mtupu.Semeni wazi Sheikh Yahaya anakamuliwa kinyesi kwamujibu wa taratibu za ~~~**&&&& ili mabikira 80 wampokee vyema.

Haswa ulijuwaje wewe? Ni hodari kwelikweli! Ulitaka akazikwe na m.a.v.i tumboni kama nyinyi (suti kubwa kwa maiti huku mavi yanachafuwa mazingira)! Si uliona nanihii pale uwanja wa taifa man nzi yalivyo mzunguka? Au umesahau? Maiti ya kiislaam hupelekwa kuzikwa sharti inanukia ma-al'udi na manukato ya misk na ambar. Huko aendako atajuana yeye na muumba wake, sisi twampeleka msaaafi, ananukia.
 
pumzika kwa amani mzee Sheikh yahya, u will be remembered by many people.

hapana atakumbukwa na wale aliokua anawapa services zake, na wanao mhusu, and that will be less than 0.05% of Tanzanians and that i cant say ni wengi... Mie sitamkumbuka. kwani ameifanyia jamii nini mpaka mnamweka kwenye front page nakumwandika hvyo as if he is a noble person who deserve recognition.
 
hivi kwa nini mnapenda kutukaniana dini ambazo hata hazikuja kwa ajili yenu na wala hamna uhakika kama ni za kweli
 
hivi kwa nini mnapenda kutukaniana dini ambazo hata hazikuja kwa ajili yenu na wala hamna uhakika kama ni za kweli

Uislaam umekuja kwa walimwengu wote. Maana ya uislaam ni kujisalimisha kwa muumba mmoja. Tuna uhakika na ushahidi kuwa uislaam ni wa kweli na Allah ni mmoja tu hajazaa wala hajazaliwa na ndiye muumba wetu. Hata yesu alimuomba "elai elai lama sabakhtani"!
 
Sijasikia salamu rambirambi za JK kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe (CCM) Ndugu John Mwankenja. Taarifa ni kwamba huyu Mwankenja ameuliwa jina usiku wakati Sheikh kafariki leo asubuhi. Ni formula gani inatumika kutoa salamu za rambirambi? walio karibu na JK waangalie hili, not a good impression kwa rais. Hata akitoa salamu hizo sasa hivi ukweli ni kwamba inakuwaje amerukia msiba wa asubuhi akaacha wa jana usiku, huku marehemu wote walikuwa kwenye group moja i.e ccm?


Kitendawili...tega... Body language and Action contains more meaning than words themselves... Try to give meaning to these Action...Mzee anavipaumbele vyake...kitaifa na kimataifa....Ni vipi?????????????????????????????
 
That is your own naive assessment of events. Kama unadhani opposition ni CDM pekee, huo ni ubutu wa mawazo ambao wengi wenu mnao. Kwa hiyo jinsi mlivyo superstitious, mkaamini maneno ya kinajimu?


kwa hiyo dovutwa na wale wengine walioolewa kule visiwani nao ni wapinzani?

grow up!
 
Nakumbuka kipindi Shehkhe Yahaya alipotabiri kuwa Dr Slaa angekufa kipindi cha kampeni za urais alipoulizwa kuwa endepo Dr hatakufa nini kingetokea, alijibu kuwa endapo Dr hatafariki basi yeye mwenyewe ndoangekufa. Sasa je inamaana utabiri umetimia? Hili suala linanichanganya sana, naomba mwenye kuweza anifafanulie.
 
je tbc itaonyesha mazishi ya sheikh haya?

Thread yako inapotosha mkuu......Mtu akisoma anaweza akafikiri TBC tayari wanaonesha live kitu ambacho sicho,ni vema hata ungeandika: Mazishi ya Sheikh Yahya; TBC kuonesha live?....

Kama hutojali badilisha heading ama omba mods waiondoe kabisa thread,maana haina MASHIKO mkuu
 
Thread yako inapotosha mkuu......Mtu akisoma anaweza akafikiri TBC tayari wanaonesha live kitu ambacho sicho,ni vema hata ungeandika: Mazishi ya Sheikh Yahya; TBC kuonesha live?....

Kama hutojali badilisha heading ama omba mods waiondoe kabisa thread,maana haina MASHIKO mkuu

Kweli Ndugu, binafsi nilishafura. Tuwe makini na title zinaweza ku mislead readers.
 
acha upupu wewe, nani alikuambia huyo sheikh ataoshwa Mtambani? Hakika vitu vingine huwa vinakera sana. ataoshwa msikiti wa tambaza na kuzikwa makaburi ya muhimbili sasa wewe unapoandika hizi habari unataka nini?

hujui ukinenacho.
 
Haswa ulijuwaje wewe? Ni hodari kwelikweli! Ulitaka akazikwe na m.a.v.i tumboni kama nyinyi (suti kubwa kwa maiti huku mavi yanachafuwa mazingira)! Si uliona nanihii pale uwanja wa taifa man nzi yalivyo mzunguka? Au umesahau? Maiti ya kiislaam hupelekwa kuzikwa sharti inanukia ma-al'udi na manukato ya misk na ambar. Huko aendako atajuana yeye na muumba wake, sisi twampeleka msaaafi, ananukia.

Du!
Kama alikuwa mchafu wa roho hata akioshwa na Dinsinfectant na chemical za aina yoyote hazisaidii kitu...
 
Haswa ulijuwaje wewe? Ni hodari kwelikweli! Ulitaka akazikwe na m.a.v.i tumboni kama nyinyi (suti kubwa kwa maiti huku mavi yanachafuwa mazingira)! Si uliona nanihii pale uwanja wa taifa man nzi yalivyo mzunguka? Au umesahau? Maiti ya kiislaam hupelekwa kuzikwa sharti inanukia ma-al'udi na manukato ya misk na ambar. Huko aendako atajuana yeye na muumba wake, sisi twampeleka msaaafi, ananukia.


Kipenzi chako Osama Bib Laden,walimkamua mavi vilevile,kabla hawajamtosa baharini?
 
ole wao wanaoshirikiana na majini na kumBEEP MUNGU awaachie kazi yake....

huyu alitabiri kuwa Slaa atakufa akishindana na Kikwete....akafa yeye!!

japo siungi mkono kashfa, nafananisha tukio hili na lili la Ayatola Khomeini kumhukumu kifo Salman Rudshie....haikupita hata nusu mwaka akafa....hadi leo Salman anapeta.....

hii na iwe fundisho..;..Mungu hafundishwi kazi yake...

wala hafurahii unajimu kwani ni mashetani yanajifanya kumpangia mungu majukumu.....

mzee huyu amedumaza watu wengi sana na amekuwa ni adui wa maendeleo ya watanzania kwa muda mrefu sasa....wakiacha kuwa wabunifu na wenye juhudi wakiamini katika majini.......

Naungana na Rev Fr Masanilo kumlilia Mwenyezi Mungu kumweka mtu huyu mahali STAHILI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom