Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,413
- 2,275
alikua mwanajeshi au?
Hakuwa mwanajeshi ila marehemu ni ndugu ya Amiri jeshi wetu na anahaki ya kuhifadhiwa hapo Lugalo (Not Joke), Lakini pia tuendelee kujiuliza hivi kwanini hakuwahishwa Muhimbili na badala yake wakampeleka kwenye ka-Dispensary kadogo ambako nafikiri hata madaktari wake (Para medics) sio wazuri kwa emergency conditions? au walijaribu kukwepa foleni ya hapa bonde la Msimbazi? Why not Magomeni Hospital ambayo ipo karibu na nyumbani kwake? wengine wanasema atazikwa kesho... je uislam unasemaje kuhusu mazishi kwani tuliona wa Marekani wakimzika Osama Bin Laden haraka bila kusubiri nduguze kwani walikuwa wanafuata sheria za dini ya kiislam (sijui kama kweli makafiri waliandaa mashehe wakumswalia ndani ya meli na ndani ya kaburi baharini)
RIP Shehe wetu na poleni wafiwa wooote mlioguswa