mimi ntajiandikisha kama muislam maruhaniNchi ina wajnga weng sana tatzo tukiweka kipengele cha dini kwenye form za sensa? dunian nch nyng znafanya hvyo ili kujua raia zangu wangap waislam,wangap wakristo mbona wanataka kujua walemavu wapo wangap? hivi kujua dini za raia wako na kujua walemavu wa nchi yako bora kipi? bora ujue wananch wng weng dini flan....
Kwani kuna ubaya gani kufahamu dini zetu mbona sehemu zingine duniani wanajuana kwa dini na hakuna tatizo lolote mfano.
Israel, Jewesh 75.5%...Wakiristo 2.1%...Waislam 16.8%..
Uingereza, Wakiristo 49.8%...Waislam 12.5%...Wasiokuwa na dini 30.6%.
Misri, Waislam 90%...Coptic 9%...na Wakiristo wengine 1%.
Nimetaja sehemu chache kama mfano sasa kwa nini Tanzania wanaogopa?
juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO.
Alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo.
Akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania.
"SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.
HOJA YANGU Ndugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!
naomba kuwasilisha!
juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO.
Alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo.
Akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania.
"SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.
HOJA YANGU Ndugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!
naomba kuwasilisha!
Barubaru, labda ungetupa defination ya neno 'msomi' ingetusaidia sana hapo kwenye red. Wote wasomi?
NB: Nakubaliana na Bongolander kwamba, neno 'wanzanzibari' liko more valid nje ya mipaka ya Zanzibar. Ndani ya Zanzibar kuna wapemba na waunguja. And it is only a matter of time before this worst kept secret 'itajianika'
Mkuu kwenye maeneo yaliopimwa nadhani huwa wanapanga maeneo kabisa kwa ajili ya nyumba za ibada. Sijui kama siku hizi utaratibu umebadilika lakini ilikuwa hivyo enzi za mwalimuNi nani alikwambia kuna maeneo yanatengwa maalum kwa ajili ya misikiti au makanisa? nadhani wahusika huwa wanajipanga na kuomba eneo kunako husika, ndo maana misikiti na makanisa siku hizi yapo kila mahali
Wasukukuma tuko kama 8m ambayo ni 20% ya Watanzania. Vipi hilo Sheikh Ponda from Burundi?
Nilipo Blue.
ndio maana zinatakiwa zipatikane takwimu sahihi sio za assumptions. Waislam wameliona hilo kwa kina sana na sasa wanataka kipengele cha dini kiwemo ndani ya karatasi zenu za sensa ila kujijua na kujisahihisha kama itawezekana na kuondokana na hii tarbia yya kukisia.
Lakin msingi mkubwa ni mipango ya nchi kwani vipengele kama jinsia, dini , elimu na ulemavu ni muhimu sana katika kupanga maendeleo ya nchi.
Sioni sababu kwanini wenzenu wanakataa. sijui wana ajenda gani hao.
Nakusaidia vitu viwili.
1. Unaposema Znz unatakiwa ujuwe kuwa unazungumzia Unguja na Pemba. sasa wakiwa wapemba au waunguja lakin wote ni taifa moja na nchi moja nayo ni Znz. sawa na huko bara ukisema wahaya, wachaga, wamakonde wote hao ni miongoni mwa watanganyika.
2. Wewe ulizungumzia Uislam mna kunasibisha na ZNZ. mimi nimekupa takwimu sio tu za waislam bali za WaZnz wote dhidi ya Watanganyika wote iwe mkristu au waislam. Kumbuka ZNZ karibu 99.9% ni waislam. nilichotaka kukujuza kuwa usemi wako sio sahihi ndio maana nikakupa hayo kwa kuchanganya wwatanganyika wote na waZnz wote wasomi wengi wametoka Znz na hilo angalia hata baada ya muungano wenu 1964. wasomi wengi walikuwa wa Znz na hata wamiliki wakuu wa uchumi wa TZ takriban 78% ni wa Znz. Fuatilia nalo hilo utaliona.
Nilichotaka kukufahamisha Uislam unalazimisha watu kusoma na sio kuwa mbumbumbu ndio maana wote tu wasomi.
Mwisho nakusikitikia kwa kukaakana utaifa wako Utanganyika. Sie tuna usemi unanena MKATAA ASLI AKE NI ...
pOLE SANA
]Kauli ya Ponda inazungumzika kwa maslahi yetu zote bila kujali tunakubaliana naye au hatukubaliani naye si jambo la kututengenisha bali kujenga hoja kushawishi umuhimu na ubaya wa kuwa na kipengere cha dini katika sensa.
...mkuu,sidhani kama kuna anaeogopa kujua asilimia,but the isssue is itatusaidia nn kwny kuleta hayo maendeleo?yes mnataka kujua mbona ni rahisi sana kufanya wenyewe bila kusubiri serikali iwafanyie km ambavyo wakristu wanafanya!sidhani km serikali itawakataza kufanya wenyewe!....hizo nchi ulizotaja kuna waislam wengi,yes,ni sawa na zambia,italy,uingereza n.k.....nazo zina wakristo wengi!..bt in reality hata mkihesabiwa, the fact is wakristo ni wengi kuliko waislam,kumbuka hapa unaongelea madhehebu mengi sn ya kikristo na c RC
Wakuu heshima kwenu,
Mkuu Jasusi kagusia kidogo sensa ya mwaka 1967 ngoja niwawekee kwa faida ya mjadala.
Takwimu ya dini[hariri] Sensa ya 1967
Takwimu ya dini nchini Tanzania kwa sasa haipatikani kwa sababu maswali kuhusu dini yaliondolewa na serikali katika sensa baada ya mwaka 1967. Sensa ile ya tarehe 27 Agosti ilihesabu wafuasi wa dini za jadi kuwa 34.3%, Wakristo 33.5% na Waislamu 31.4%, mbali na wengineo 0.8%.[SUP][1][/SUP]
[hariri] Namba zenye athira ya kisiasa
Tangu mwaka ule swali la takwimu ya kidini Tanzania limejadiliwa sana inaonekana ni swali lenye uzito wa kisiasa pamoja na upande wake wa kitaalamu.
Kwa miaka mingi makadirio ya kawaida yalikuwa Watanzania ni theluthi 1 wafuasi wa dini za jadi, theluthi 1 Waislamu na theluthi 1 Wakristo.[SUP][2][/SUP]
Lakini ni wazi ya kwamba dadi ya wafuasi wa dini za jadi imeendelea kupungua. Baadhi ya viongozi na wanaelimu-jamii wanakadiria kwamba jumuia za Kikristo na Kiislamu zipo sawa tu kwa ukubwa, zote huhesabiwa kiasi cha asilimia 30 hadi 40 kwa idadi ya wakazi, na waliosalia ni waumini wa imani zingine, dini za jadi, na wale wasio na dini kabisa.
Lakini wataalamu wengine wanasema uwiano huo unashikiliwa kisiasa kwa sababu uhusiano kati ya Wakristo na Waislamu ni jambo la siasa ya taifa kwa hiyo makadirio yanaelekea kutaja uwiano sawa kati ya pande hizi mbili.[SUP][3][/SUP]
[hariri] Mifano ya makadirio mbalimbali
Kwa hiyo namba zote kuhusu takwimu ya dini nchini Tanzania ni makadirio tu hakuna namba za kutegemea. Vyanzo vinavyotaja namba vinatofautiana sana mara nyingi kufuatana dini ya wahariri.
- "World Christian Encyclopedia" (toleo la pili, Oxford 2001) imekadiria kwa mwaka 2000 Wakristo kuwa 50.4 % (Wakatoliki 24.7%, Waprotestanti mbalimbali 16.5%, Waanglikana 7.9%, wasio na madhehebu maalumu 3.5%, madhehebu huru 1.9%, madhehebu yasiyokubali imani ya msingi ya Wakristo wengine wote 0.1%, wenye kufuata madhehebu mawili kwa wakati mmoja 4.2%), Waislamu 31.8%, wafuasi wa dini za jadi 16.1% na wengineo 1.8%. Pia imetabiria kwa mwaka 2025 uwiano kuwa 56.1, 32.8, 8.9 na 2.1%, na kwamba kufikia mwaka 2050 Wakristo na Waislamu watakuwa karibu 65 na 35% kati ya wakazi wa nchi.
- Taarifa ya "International Religious Freedom Report 2009" kutoka Marekani Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor kwa mwaka 2009 unaotaja 62% ya Watanzania kuwa Wakristo, 35% Waislamu na 3% wafuasi wa dini nyingine.[SUP][4][/SUP]
- Takwimu zinazoonyeshwa na Waislamu hudai kundi kubwa la Watanzania kuwa Waislamu wakiwa na asilimia 50 - 60 za watu wa nchi [SUP][5][/SUP]
Pande zote zinarejea takwimu za kuongezeka za watu katika maeneo fulani wakiongeza makadirio yao juu ya matokeo kwenye namba za kidini.
- Kuna shirika za Kiislamu zinazotabiri Tanzania itakuwa nchi ya Waislamu wengi mnamo mwaka 2020 [SUP][6][/SUP]
Source; wikipedia.
Faida zipi hizo na kwa faida kwa dini husika au Watanzania?
Kanisa nalosali tunajua idadi kamili ya Wakristo kwenye parokia yetu, tunajua idadi ya wanakuja Ibadani kila wiki, kwa hiyo tunajua dayosisi ina waumini wangapi na nchi nzima wako wangapi. Waislamu wanashindwa vipi hadi kulazimisha serikali iwasaidie kujua idadi yao? Hawana namna ya kujua Waislamu wako wangapi? Au wanataka kuwatisha wengine tu?
Well said, mie sina shida kabisa na kipengele cha dini kuwekwa kwenye sensa bali hiyo sumu ya kuwa Tanzania inaendeshwa na mfumo kristo nahisi ni kali na ngumu kusafishwa kwenu.juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO.
Alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo.
Akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania.
"SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.
HOJA YANGU Ndugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!
naomba kuwasilisha!