Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
Anapewa promo sana Mtanzania huyu...on taxpayers money that is
kama hiyo ndio imani yako kwamba matendo yako ndio yatakufikisha mbinguni sasa yesu wa nini kwako?Unamdharauje YESU wakati hata mtume wako anamsubiri ili aje kujua hatma yake!
Hujui duniani hakuna kaburi la YESU ila la mtume lipo kule Saudia.
Heshimu dini za watu..hakuna hata binadamu mmoja awe mkristo mwislamu wala mpagani mwenye tiketi ya kwenda mbinguni kwa sababu ya dini yake tu!
Matendo ndg ndiyo njia pekee ya kukufikisha peponi..
wewe ni kenge tangu lini kwenye karatasi ya kupigia kura ukakuta jina la chama? karatasi zote za kura sina picha za watu unashangaa nini?
wewe imani yako siinasema kwamba yesu alichukua dhabi zetu pale msalabani sasa shetani anatoka wapi tena acha kujichanganya ina maana baada ya yesu kuchukua dhambi zetu mungu alimtuma tena shetani?Lete hoja acha matusi...shetani anatawala maisha yako?
hakuna kesi hapo, uchochezi upi? alafu mkumbuke waislam kusema yesu sio mungu ni haki yao ni kwa mujibu wa qur-an.
hili la pili eti kasema YESU SIO MUNGU. MAHAKAMA SI ISHASEMA KWAMBA KWA WAISLAM KUSEMA YESU SIO MUNGU SI KOSA KABISA KWA MUJIBU WA QURAN.
Kama huu ni uchochezi basi ni wengi watakaofungwa safari hii! majela yatajaa.Likiwemo la uchochezi alilolitoa Kwenye Mkutano wa Hadhara Tarehe 10 mwezi huu Ambapo Inadaiwa alisema kwamba ''Ndugu waislamu Msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za Misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na Bakwata ambao ni vibaraka wa Serikali ''
Unamdharauje YESU wakati hata mtume wako anamsubiri ili aje kujua hatma yake!
Hujui duniani hakuna kaburi la YESU ila la mtume lipo kule Saudia.
Heshimu dini za watu..hakuna hata binadamu mmoja awe mkristo mwislamu wala mpagani mwenye tiketi ya kwenda mbinguni kwa sababu ya dini yake tu!
Matendo ndg ndiyo njia pekee ya kukufikisha peponi..
Maneno ya busara sana haya!Je, dini nyingine nao wakipaza sauti kwamba Muhammad sio mtume na kueleza kwa ufasaha "sifa zote" na "matendo yote" ya Muhammad nao itakuwa ni haki yao? Ndugu yangu hizi imani ni kuvumiliana tu na kuenenda kwa busara na hekima ambavyo inaonekana Ponda amevikosa.
Anapewa promo sana Mtanzania huyu...on taxpayers money that is
Ni kweuli katika mahubiri yake huwa anataka nchii hii iwe ya kiislamu na makanisa yachomwe moto..hata mimi simuungi mkono
Anatengenezewa Umaarufu.