Sheikh Ponda amezitoa wapi hizi takwimu?

Sheikh Ponda amezitoa wapi hizi takwimu?

Mimi sioni tatizo kujua idadi ya dini na waumini wake hapa nchini mbona nchi zingine takwimu kama hizi zipo wazi kuna nini Tanzania?

Nchi nyingi hazina hicho kipengele kwenye sensa zao, kwanini tusiendelee kubaki hivyo? Mf. Marekani takwimu za dini zinakusanywa na Asasi mbalimbali za kiraia si Serikali. Zijitokeze Asasi za aina hiyo Tanzania.
 
Nafikiri kiswahili kidogo kimekuchanganya hapo.

Mimi nilivyomwelewa ni kuwa zaidi ya 80% ya waislam hawatamsikiliza maagizo ya Mufti wa BAKWATA. na amesema kuwa Waiskam ni zaidi ya 50% ya population ya waTz.

Hivyo ndivo nilivyomwelewa mimi ambaye kiswahili ni lugha ya kigeni kwangu.

Lugha yangu ya asli ni ile inayoandikwa kutoka kulia kwenda kushoto.


Hahah, mkuu nadhani wewe ndio umeielewa habari isivyo. Alichomaanisha hapo ni kwamba Waislamu watakaoitikia wito wake ni 80% ya Waislamu wote (hao ni zaidi ya nusu ya idadi ya watanzania wote), na 20% waliobaki ndio watakaoitikia wito wa Mufti (BAKWATA) wa kushiriki kwenye sensa ya taifa. Maana yake Waislamu wako zaidi ya 62.5% ya Watanzania wote {(50+) / 0.8}.
 
nyie mnaongea ila hamna hata rejea sheh issa katoa evidences kibao,walitaja mpaka vifungu vya u.n na o.a.u au hamkusikiliza wala kutizama bali mlihadisiwa,maana ata hiyo faida ya kuingizwa kipengele cha dini pia alikiongelea sasa sijui tatizo nini kwenu,tusiwe wapofu wa fikra,jaribu kufungua milango ya mawazo na lipe uzito jambo kabla hujaliona jepesi.si kila lisemwalo ni duni ila muda mwingine fikra zetu wapokeaji ndio huwa duni.......fikiri kwanza kisha jenga hoja yenye rejea

Hatuwezi kuhudhuria kila sehemu kwenye tukio ndio maana tunategemea vyombo mbalimbali vya habari, na kwa mumibu wa vyombo hivyo habari tuliyoletewa sisi ndio hiyo hapo juu!
 
Nilikuwa nikiangalia sababu za moja ya magonjwa ya kiakili unaoitwa Schizophrenia, ugonjwa ambao mgonjwa husikia sauti na kumuamrisha kufanya vitu, sijawahi kuona huu ugonjwa ukiandikwa ni kitu gani kinachousababisha, je unaweza kutupa sababu za ugonjwa huu?
Utashangaa sana kwanini the western nations pamoja na kuwachukia wanazo standards zinazowazuia kumaliza jamii fulani.Otherwise kuitoa iran ktk ramani ni kitu ndogo tuu one nuke.

By the way ikiwa iran wameshaingia zenj ,soon, mtagawana tuu kanchi hako halafu muanze pigana vita kwa minasaba ya watawala wa madhehebu hayo, kwani wa-shia wale wanawachukia was-sunni.Si mlimkata Imam wao shingo shingo kwa staili ya kuchinja ngamia ?
 
Utashangaa sana kwanini the western nations pamoja na kuwachukia wanazo standards zinazowazuia kumaliza jamii fulani.Otherwise kuitoa iran ktk ramani ni kitu ndogo tuu one nuke.

By the way ikiwa iran wameshaingia zenj ,soon, mtagawana tuu kanchi hako halafu muanze pigana vita kwa minasaba ya watawala wa madhehebu hayo, kwani wa-shia wale wanawachukia was-sunni.Si mlimkata Imam wao shingo shingo kwa staili ya kuchinja ngamia ?

Ile thread yako ya udini kuhusu uamsho.. umeikimbia baada ya kukosa wachangiaji.. umehamia.huku kumwaga sumu ..haya na hapa tuletee hiyo suna Abu dawud ..
 
Ile thread yako ya udini kuhusu uamsho.. umeikimbia baada ya kukosa wachangiaji.. umehamia.huku kumwaga sumu ..haya na hapa tuletee hiyo suna Abu dawud ..

kwani ponda nahubiri nini na hii thread ni ya nini?Unapata aibu kusoma Abu dawud?
 
mie mwanafunzi wa YESU KRISTO

Njoo basi ujifunze aliyoyafundisha Issa Bin Mariam, Uislaam ni katika mafundisho ya Mtume Issa. Hebu jaribu kufunguwa Qur'an uone kuanzia alivyozaliwa, alivyofanya miujiza, mama yake, Nnakuhakikishia katika Qur'an utayakuta mengi ya mema ya Yesu na mama yake Bi Mariam Tazama:

I'sa (Yesu) a.s., alitabiri atakuja Ah'mad s.a.w., 61:6;

anaomba Meza ya vyakula, 5:114;
hakufunza ibada potovu, 5:116-118;
hakusulubiwa, 4:157; kapewa Injili, 5:46;
kunyanyuliwa, 3:55-58; 4:157-159;
kuwa ni Ishara, 23:50; 43:61;
kuzaliwa kwake, 3:45-47; 19:22-33;
mfano wa Adam, 3:59;
Mtume kwa Waisraili, 3:49-51;
Nabii mwema, 6:85;
si Mungu; 5:17, 5:75;
si mwana wa Mungu, 9:30;
si zaidi kuliko Mtume, 4:171; 5:75; 43:59; 63:64;
Ujumbe na miujiza, 5:110; 19:30-33;
ujumbe wake una mipaka yake, 13:38;
wafwasi wake wana huruma na rehema, 57:27;
wanafunzi, 3:52-53; 5:111-115;
wanafunzi wake kuwa ni Wasaidizi wa Mwenyezi Mungu, 61:14;
wanafunzi wake wanajitangaza kuwa ni Waislamu, 5:111;
Mariamu, (mama wa Nabii Isa a.s.), kalinda uke wake, 21:91; 66:12;

kamleta mtoto kwa watu wake, 19:27-33;
katika kujifungua kwa uzazi, 19:23-26;
kuzaliwa kwake, 3:35-37;
Malaika kumwambia atamzaa Nabii Isa a.s., 3:42-51; 4:156; 19:16-21;
 
Njoo basi ujifunze aliyoyafundisha Issa Bin Mariam, Uislaam ni katika mafundisho ya Mtume Issa. Hebu jaribu kufunguwa Qur'an uone kuanzia alivyozaliwa, alivyofanya miujiza, mama yake, Nnakuhakikishia katika Qur'an utayakuta mengi ya mema ya Yesu na mama yake Bi Mariam Tazama:

I'sa (Yesu) a.s., alitabiri atakuja Ah'mad s.a.w., 61:6;

anaomba Meza ya vyakula, 5:114;
hakufunza ibada potovu, 5:116-118;
hakusulubiwa, 4:157; kapewa Injili, 5:46;
kunyanyuliwa, 3:55-58; 4:157-159;
kuwa ni Ishara, 23:50; 43:61;
kuzaliwa kwake, 3:45-47; 19:22-33;
mfano wa Adam, 3:59;
Mtume kwa Waisraili, 3:49-51;
Nabii mwema, 6:85;
si Mungu; 5:17, 5:75;
si mwana wa Mungu, 9:30;
si zaidi kuliko Mtume, 4:171; 5:75; 43:59; 63:64;
Ujumbe na miujiza, 5:110; 19:30-33;
ujumbe wake una mipaka yake, 13:38;
wafwasi wake wana huruma na rehema, 57:27;
wanafunzi, 3:52-53; 5:111-115;
wanafunzi wake kuwa ni Wasaidizi wa Mwenyezi Mungu, 61:14;
wanafunzi wake wanajitangaza kuwa ni Waislamu, 5:111;
Mariamu, (mama wa Nabii Isa a.s.), kalinda uke wake, 21:91; 66:12;

kamleta mtoto kwa watu wake, 19:27-33;
katika kujifungua kwa uzazi, 19:23-26;
kuzaliwa kwake, 3:35-37;
Malaika kumwambia atamzaa Nabii Isa a.s., 3:42-51; 4:156; 19:16-21;

Mkuu, ingawa sina hicho kitabu ulicho quote, leo umeonesha u great thinker. Hivi ndivo mjadala unavopaswa kwenda - hoja kwa hoja sio hoja kwa jazba. Tukiendelea hivi, hadhi ya the home of great thinkers itadumishwa.
 
Mfano wako wa Israel na Palestina sio sahihi, Israeli wangeachwa peke yao wangeshatandikwa siku nyingi na Wapiganaji wa Kipalestina, ila kwa vile Israel inasimamishwa na mataifa ya Magharibi, USA, UK nk

hata hiyo palestina inasaidiwa na nchi tajiri za kiarabu vile vile....
 
Vatican siyo nchi bali ni city ndani ya nchi ya Italy. Vatican ndo makao makuu ta Kanisa Katoliki. Haihitaji akili kubwa kujua kuwa Vatican ni kanisa ambalo lina kituo chake(balozi wa papa) hapa nchini which is well against the so called Katiba. Hamjui kuwa mambo yote ya vurugu haya ya migomo ya madaktari, mauaji ya watu wakiandamana kisheria yanaratibiwa na kanisa? hamjui? kama hamjui semeni niwapatie takwimu halisi za mambo yote haya(authentic data).

Mkuu ichunguze akili yako inawezekana akili yako haina akili au imepoteza akili yake. Ndo shida ya kukurupukia imani za wengine bila kujua. Mkuu Vatican ni nchi na makao yake makuu ni Vatican City. Ichunguze akili yako huenda haina aikili ndugu! Itafika mahali utakuja kusema Swaziland sio nchi bali ni mji ndani ya nchi ya Afrika Kusini wewe!
 
7. Marufuku nguruwe,
8. Marufuku misalaba,
9. Marufuku magovi,
10. Marufuku pombe,
11. Marufuku riba,
12. Marufuku zinaa (rukhsa wake wanne)
13. Marufuku ufisadi !

14. kila mwanaume lazima awe ana****a mkewe
 
Njoo basi ujifunze aliyoyafundisha Issa Bin Mariam, Uislaam ni katika mafundisho ya Mtume Issa. Hebu jaribu kufunguwa Qur'an uone kuanzia alivyozaliwa, alivyofanya miujiza, mama yake, Nnakuhakikishia katika Qur'an utayakuta mengi ya mema ya Yesu na mama yake Bi Mariam Tazama:

I'sa (Yesu) a.s., alitabiri atakuja Ah'mad s.a.w., 61:6;

anaomba Meza ya vyakula, 5:114;
hakufunza ibada potovu, 5:116-118;
hakusulubiwa, 4:157; kapewa Injili, 5:46;
kunyanyuliwa, 3:55-58; 4:157-159;
kuwa ni Ishara, 23:50; 43:61;
kuzaliwa kwake, 3:45-47; 19:22-33;
mfano wa Adam, 3:59;
Mtume kwa Waisraili, 3:49-51;
Nabii mwema, 6:85;
si Mungu; 5:17, 5:75;
si mwana wa Mungu, 9:30;
si zaidi kuliko Mtume, 4:171; 5:75; 43:59; 63:64;
Ujumbe na miujiza, 5:110; 19:30-33;
ujumbe wake una mipaka yake, 13:38;
wafwasi wake wana huruma na rehema, 57:27;
wanafunzi, 3:52-53; 5:111-115;
wanafunzi wake kuwa ni Wasaidizi wa Mwenyezi Mungu, 61:14;
wanafunzi wake wanajitangaza kuwa ni Waislamu, 5:111;
Mariamu, (mama wa Nabii Isa a.s.), kalinda uke wake, 21:91; 66:12;

kamleta mtoto kwa watu wake, 19:27-33;
katika kujifungua kwa uzazi, 19:23-26;
kuzaliwa kwake, 3:35-37;
Malaika kumwambia atamzaa Nabii Isa a.s., 3:42-51; 4:156; 19:16-21;

Unaonekana una busara na elimu kubwa both dunia na ahera. kama wale akina kamwewe na aly kombo wangekuwa na akili kama zako au hata za kuazima sidhani kama kungekuwa na mijazba ya kijinga jinga. wewe nakufananisha na wanazuoni, YOU ARE A GREAT THINKER. najua sio rahisi watu wote kuwa sawa, lakini ni vizuri bakwata ikatumia watu wenye kisomo kama wewe kueneza neno la mtume Muhamad S.A.W ili dunia iwe na amani. vita vyote vya sasa duniani vinasababishwa na jazba za kidini.
 
Njoo basi ujifunze aliyoyafundisha Issa Bin Mariam, Uislaam ni katika mafundisho ya Mtume Issa. Hebu jaribu kufunguwa Qur'an uone kuanzia alivyozaliwa, alivyofanya miujiza, mama yake, Nnakuhakikishia katika Qur'an utayakuta mengi ya mema ya Yesu na mama yake Bi Mariam Tazama:

I'sa (Yesu) a.s., alitabiri atakuja Ah'mad s.a.w., 61:6;

anaomba Meza ya vyakula, 5:114;
hakufunza ibada potovu, 5:116-118;
hakusulubiwa, 4:157; kapewa Injili, 5:46;
kunyanyuliwa, 3:55-58; 4:157-159;
kuwa ni Ishara, 23:50; 43:61;
kuzaliwa kwake, 3:45-47; 19:22-33;
mfano wa Adam, 3:59;
Mtume kwa Waisraili, 3:49-51;
Nabii mwema, 6:85;
si Mungu; 5:17, 5:75;
si mwana wa Mungu, 9:30;
si zaidi kuliko Mtume, 4:171; 5:75; 43:59; 63:64;
Ujumbe na miujiza, 5:110; 19:30-33;
ujumbe wake una mipaka yake, 13:38;
wafwasi wake wana huruma na rehema, 57:27;
wanafunzi, 3:52-53; 5:111-115;
wanafunzi wake kuwa ni Wasaidizi wa Mwenyezi Mungu, 61:14;
wanafunzi wake wanajitangaza kuwa ni Waislamu, 5:111;
Mariamu, (mama wa Nabii Isa a.s.), kalinda uke wake, 21:91; 66:12;

kamleta mtoto kwa watu wake, 19:27-33;
katika kujifungua kwa uzazi, 19:23-26;
kuzaliwa kwake, 3:35-37;
Malaika kumwambia atamzaa Nabii Isa a.s., 3:42-51; 4:156; 19:16-21;

Unaonekana una busara na elimu kubwa both dunia na ahera. kama wale akina kamwewe na aly kombo wangekuwa na akili kama zako au hata za kuazima sidhani kama kungekuwa na mijazba ya kijinga jinga. wewe nakufananisha na wanazuoni, YOU ARE A GREAT THINKER. najua sio rahisi watu wote kuwa sawa, lakini ni vizuri bakwata ikatumia watu wenye kisomo kama wewe kueneza neno la mtume Muhamad S.A.W ili dunia iwe na amani. vita vyote vya sasa duniani vinasababishwa na jazba za kidini.
 
Mkuu, ingawa sina hicho kitabu ulicho quote, leo umeonesha u great thinker. Hivi ndivo mjadala unavopaswa kwenda - hoja kwa hoja sio hoja kwa jazba. Tukiendelea hivi, hadhi ya the home of great thinkers itadumishwa.

Fata link: Qur'ani Tukufu
 
7. Marufuku nguruwe,
8. Marufuku misalaba,
9. Marufuku magovi,
10. Marufuku pombe,
11. Marufuku riba,
12. Marufuku zinaa (rukhsa wake wanne)
13. Marufuku ufisadi !
Hata kwetu Ludewa ambako hakuna hata mwislam upige ban? Moderator safi sana kwa kuanza kumpiga ban halafu aone uchungu wa kuwapiga ban wenzake vitu wavipendavyo!!!!!
 
Nilikuwa nikiangalia sababu za moja ya magonjwa ya kiakili unaoitwa Schizophrenia, ugonjwa ambao mgonjwa husikia sauti na kumuamrisha kufanya vitu, sijawahi kuona huu ugonjwa ukiandikwa ni kitu gani kinachousababisha, je unaweza kutupa sababu za ugonjwa huu?
Ni imbalance ya neurotransmitters especially serotonin na Dopamine. Pia kuna biopsychosocial hypothesis kuwa kama una ndugu mwenye ugonjwa basi nawe una chance ya kupata ugonjwa as well as kuwa na stress kwenye maisha kunaweza kuzivuruga hizo neurotransmitters! je ulikuwa na point gani baada ya maelezo haya?
 
Back
Top Bottom