Sheikh Ponda amezitoa wapi hizi takwimu?

Kwani kanisa lilitoa wapi hizo takwimu kuwa wakiristo ni aslimia 52? Inawezrekana kuzipata huko kanisa liliko zipata, ili kuepusha utata huo ndo maana waislamu wanataka kipengele cha dini kiingizwe kwenye sensa ili takwimu sahihi zitolewa baada ya sensa hiyo, siyo vinginevyo. Nadhani umeelewa sasa ndg Ukoo Flani

mmeshindwa kujihesabu wenyewe huko kwenye masinagogi yenu?. Mfano halisi ukija kanisani ninakujumuika na wenzangu kuabudu kila siku ya ibada utapata takwimu ni watu wangapi walihudhuria. Hili zoezi dogo sana, kama mnaweza kuitisha maandamano nchi nzima mnashindwaje kujihesabu?
 
"Waislamu tumepanga tarehe hiyo ya sensa kufanya maandamano ya amani nchi nzima kwani sensa inayokusudiwa haitakuwa na matokeo sahihi kwakuwa asilimia 80 ya Waislamu ambao ni zaidi ya nusu ya Watanzania hawatahesabiwa," alisema Shekh Ponda.

Sasa yeye tayari anajua idadi ya waaumini wote wa ki-islam nchini kwa mujibu wa maongezi yake hapo juu si awachie basi wanaotaka sensa kwa mujibu wa mipango ya jamii. Na mipango ya jamii inahusiana na nini na majumba ya Ibada may be its time tuanze kuwafungulia kesi za uaini na kutafuta sababu za kuchafua amani nchini watu wa design hizi.

Yaaani fujo tupu kila kukicha nchi imeziachia sana ideologies zisizo na tija katika mfumo wa kiserikari zipate political voice and gain influence. Nadhani viongozi wengi wa dini wamekuwa wakitumia fikra za conservatism ambazo zina ambatana na misingi ya dini zao kwenye kudai haki zao in the secular tanzania.

Its about time religious leaders are kept where they belong kuanzia wale wanaodai kutaka mabadiliko ya uongozi wa serikali na wanaosumbua kila kukicha kutaka kuwekewa misingi imara ya dini zao kupitia mgongo wa serikali. But then haya yote ni matokeo ya viongozi legelege na ambao hawapo pro secular.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom