Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
Fata link: Qur'ani Tukufu
Ngoja nikaazime laptop kwa jirani, haka ka mchina kanagoma kufungua. Thanks for the link and again congratulations for being a great thinker!
Fata link: Qur'ani Tukufu
Niliona hiyo lakini haitoi jibu la moja kwa moja kuhusu causes,Ni imbalance ya neurotransmitters especially serotonin na Dopamine. Pia kuna biopsychosocial hypothesis kuwa kama una ndugu mwenye ugonjwa basi nawe una chance ya kupata ugonjwa as well as kuwa na stress kwenye maisha kunaweza kuzivuruga hizo neurotransmitters! je ulikuwa na point gani baada ya maelezo haya?
Yamekosewa kwa vile muhamad alihadithiwa ukristu na watu wasio na ufahamu.Kasome kuhusu Jabir.BY the way yako wapi ya muhamad?Kwanini ufimfuate Nabii aliye superior kwa kila kitu chema zaidi ya muhamad aliyekiri kuwa hana uhakika wa mbinguNjoo basi ujifunze aliyoyafundisha Issa Bin Mariam, Uislaam ni katika mafundisho ya Mtume Issa. Hebu jaribu kufunguwa Qur'an uone kuanzia alivyozaliwa, alivyofanya miujiza, mama yake, Nnakuhakikishia katika Qur'an utayakuta mengi ya mema ya Yesu na mama yake Bi Mariam Tazama:
acheni kufuru:rudi kasome Biblia.Halafu kasome maandiko ya kiislam uone jinsi muhamad alivyolilia kutambulika na kukubalika hata kwa wapagani wa mecca mliowapora pa kuabudia.Yesu alisema atakuja Roho mtakatifu na atafundisha kwa jina la yesu.LEO MNACHOMA MAKANISA NA KUWAUWA WAFUASI WAKE.NA MUHAMAD LIKUJA KWA JINA LAKE MWENYEWE(muhamad).I'sa (Yesu) a.s., alitabiri atakuja Ah'mad s.a.w., 61:6;
Halfu kwanini hujasoma vizuri walichoambiwa wale waliotaka maajabu ya hiyo meza.Ina wahusu na nyie msiomwamini Kristu.anaomba Meza ya vyakula, 5:114;
Kwanini nani anafundisha upotofu?Km uliitaka Biblia iwe uthibitisho na utabiri kwa muhamad na Yesu hakuwafundisha upotofu kwanini humfuati sasa?Kurani yenyewe inakiri kuwa Injili ni neno la Mungu na haliwezi potoshwa.Wala Biblia haijawahi pitisha neno la shetani.Ila Quran kupitia ulimi wa Muhamad uliingiza hiyo mistari.hakufunza ibada potovu, 5:116-118;
acha uongo, soma vizuri.Hapa limeulizwa swali baada ya wayahudi kusema kuwa hawakumuua.Hakusulubiwa na wayahudi.ILA KWA AKILI YAKO UNADHANI WANGEPATA WAPI MAMLAKA YA KUUA?Mrumi ndie alikuwa na uwezo wa kuua wao walimshitaki kwa mambo ya uongo/fitini na Biblia ipo sahihi kwa hilo.Mrumi ndio alikuwa mtawala ,wayahudi walikuwa watumwa.MNASOMA KWA ****** NINI?Wapi panasema hakufa?Swani ni nani alimuua.
Pia ni al-Masih, Ni neno la Mungu(Neno La Mungu linaumba kwa uwezo uliopo ndani yae-Na quran inasema aliumba na kufufua),Ni roho wa Mungu.Ni mfano kwa vile hakuwa na baba, na alianzisha agano jipya ktk ya Mungu na Binadamu.Ila hakuumbwa kwa udongo.adamu alioza ardhini.
Mtume kwa Waisraili, 3:49-51;
Nabii mwema, 6:85;
Kweli ni mwema,kwani yeye ni muhamad awe muovu?Kwani muhamad alikuja kwa ajili ya nani si qurayish?Mbaya alielezea yote kuwa ufalme ulikuja kwa nani ila utapewa nani?Na liweka wazi waabudue wa kweli ni katika roho na kweli.Nyie kaendeleeni kupoteza muda chooni, kuogopa mkojo wagusa na kusafisha matone ya mikojo ya maiti.Ni nani sasa hadi aumbe?afufue?asamehe?ahukumu?(Soma Quran: inamwita Neno la Mungu, roho wa Mungu na inakiri kuwa neno la Mungu linaumba kwa uwezo lililo nalo)
Ni wa nani?Unamjua babake?soma uzao wake kwa akili, hakutengezwa kwa udongo.Ila ni neno la Mungu/Quran tena inaita Seed/mbegu ya Mungu.Tumia akili.Kwanza waislam hawana mtoto wa Mama ila kwa Yesu mmetoa exception.Imekula kwenusi mwana wa Mungu, 9:30;
Kwa vigezo gani?Soma vizuri wewe sifa zake, halafu jumlisha hizi.Ni straight line to Allah, alimshinda shetani, ila Muhamad alishindwa na shetani.Quran imekiri kuwa aliingiza mistari ya shetani.soma hadith mashetani yanavyowachezea waislam?Kuwakjolea masikioni, puani, kuingia uzao wenu , etc.
Kazi na dawa, kila kila kwa mifano ili kuthibitisha kinafanyika.Si mahubiri yasioyotekelezeka.Hujaona kwa nini waislam ni failures.Wana vitu havitekelezeki.Wanapozidi fuata dini wanazidi kuwa wanyama na magaidi
Tuonyeshe mipakaujumbe wake una mipaka yake, 13:38;
mbona mnawauwa?ndio wakristu wenyewe.Mfuasi wake ni yule afuatayo mafundisho yake.MNATIA HURUMA nayo hamulewi
[Quotee]
kamleta mtoto kwa watu wake, 19:27-33;
katika kujifungua kwa uzazi, 19:23-26;
kuzaliwa kwake, 3:35-37;
Malaika kumwambia atamzaa Nabii Isa a.s., 3:42-51; 4:156; 19:16-21;
Yamekosewa kwa vile muhamad alihadithiwa ukristu na watu wasio na ufahamu.Kasome kuhusu Jabir.BY the way yako wapi ya muhamad?Kwanini ufimfuate Nabii aliye superior kwa kila kitu chema zaidi ya muhamad aliyekiri kuwa hana uhakika wa mbingu
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu imepanga kwenda mahakamani kuzuia zoezi la sensa na kupinga kauli iliyotolewa na Sheikh Mkuu wa Baraza la Waislamu (Bakwata), Mufti Issa Shaban Simba, kwamba Waislamu wamekubali kuhesabiwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa jumuiya hizo, Sheikh Ponda Issa Ponda, alisema kauli ya Mufti Simba, inaashiria kwamba Bakwata limekiuka makubaliano yaliyofikiwa mjini Dodoma na jumuiya zote za waumini wa dini hiyo.
Alisema kauli hiyo haitakuwa na athari kubwa kwa msimamo wa Waislamu wengi ambao hawatashiriki zoezi la sensa.
"Waislamu tumepanga tarehe hiyo ya sensa kufanya maandamano ya amani nchi nzima kwani sensa inayokusudiwa haitakuwa na matokeo sahihi kwakuwa asilimia 80 ya Waislamu ambao ni zaidi ya nusu ya Watanzania hawatahesabiwa," alisema Shekh Ponda.
Hivi karibuni Mufti Simba, alitoa msimamo wa Bakwata, akiwataka Waislamu wote nchini kushiriki Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Agosti 26, mwaka huu.
Chanzo: Nipashe
Huyu Sheikh amezipata wapi hizo takwimu kwamba 80% ya Waislamu TZ ni zaidi ya nusu ya Watanzania wote? Halafu baada ya Sensa ya dini ikajulikana waumini wa dini fulani ndio majority italisaidiaje Taifa? Ninaamini kuwa wapo waislamu wengi Tanzania wasioyumbishwa na kauli na misimamo ya viongozi wao, lakini viongozi wa aina hii wana mchango gani kwenye ustawi wa jamii na taifa kwa ujumla?
wakristo hasa viongozi hawataki kujulikana kwa idadi hiyo kwa kuwa itaonesha namna gani wasivyofanya kazi wanayodai kuifanya kwa mabwana zao MAFIA WA VATICAN wakiongozwa na Don pope
Si wanajulikana na wapo makanisani daily au hata wapo wanaokunywa pombe kwa kwenda mbele kwa vile wanajua mbingu yao haitokuwa nazo.Kajifunze definition ya kutotaka julikana ..ili utueleze hawataki kujulikana vipi wakati hawajifichi huku wakijionyesha?
Hii dunia bila kuwa mafia mtaangamizwa na wafuasi wa dini mfu.Angalia huku deal za kishenzi (Iran, Libya, Pakistan etc), twiga kuibiwa, ugaidi, wasomi wajinga na kazi propaganda.Huku wanaeneza dini wasioijua wala kutambua maandiko yake, wanaoshinda kuangalia biashara za wenzao badala ya kupanga na kufanya zao
Njoo basi ujifunze aliyoyafundisha Issa Bin Mariam, Uislaam ni katika mafundisho ya Mtume Issa. Hebu jaribu kufunguwa Qur'an uone kuanzia alivyozaliwa, alivyofanya miujiza, mama yake, Nnakuhakikishia katika Qur'an utayakuta mengi ya mema ya Yesu na mama yake Bi Mariam Tazama:
I'sa (Yesu) a.s., alitabiri atakuja Ah'mad s.a.w., 61:6;
anaomba Meza ya vyakula, 5:114;
hakufunza ibada potovu, 5:116-118;
hakusulubiwa, 4:157; kapewa Injili, 5:46;
kunyanyuliwa, 3:55-58; 4:157-159;
kuwa ni Ishara, 23:50; 43:61;
kuzaliwa kwake, 3:45-47; 19:22-33;
mfano wa Adam, 3:59;
Mtume kwa Waisraili, 3:49-51;
Nabii mwema, 6:85;
si Mungu; 5:17, 5:75;
si mwana wa Mungu, 9:30;
si zaidi kuliko Mtume, 4:171; 5:75; 43:59; 63:64;
Ujumbe na miujiza, 5:110; 19:30-33;
ujumbe wake una mipaka yake, 13:38;
wafwasi wake wana huruma na rehema, 57:27;
wanafunzi, 3:52-53; 5:111-115;
wanafunzi wake kuwa ni Wasaidizi wa Mwenyezi Mungu, 61:14;
wanafunzi wake wanajitangaza kuwa ni Waislamu, 5:111;
Mariamu, (mama wa Nabii Isa a.s.), kalinda uke wake, 21:91; 66:12;
kamleta mtoto kwa watu wake, 19:27-33;
katika kujifungua kwa uzazi, 19:23-26;
kuzaliwa kwake, 3:35-37;
Malaika kumwambia atamzaa Nabii Isa a.s., 3:42-51; 4:156; 19:16-21;
mi napendekeza waweke huo udini wao, ili tufuatilie nyendo zao. nimechoka na kelele zao. kuna mmoja alitoa ufafanuzi kuwa, eneo la kiseke mwanza, maeneo ya huduma za jamii, wakati wakristo wametengewa zaidi ya hekata 1,000 kufanya shughuli za kijamii kujenga makanisa na mambo memngine yanayowahusu, waislamu wametengewa hekata 100 tu. sina hakika na takwimu hizi, lakini akasisitiza, kilichosababisha utofauti wa ukubwa wa maeneo, ni kwa kuwa serikali ina takwimu za idadi ya watu kwa kuzingatia dini zao kitu ambacho hakijawahi kufanyiwa kazi tanzania.
mimi nilimjibu nikamweleza kuwa, waislamu kuna madhehebu makubwa manne, wakati wakristo utahesabu madhehebu hadi utachoka. kiukweli sijui idadi ya madhehebu kwani yaliyopo si chini ya 50 kwa yale ninayoyafahamu. kwa hiyo iwapo kila dhehebu litaomba kiwanja huko kiseke, hata hizo hekata 1,000/ hazitatosha, lakini waislam kwa idadi ya madhehebu yao, wana uhakika wa kupata kila dhehebu hekta 25, ambalo ni eneo kubwa mno.
sasa kama wanahisi wananyanyaswa katika kugawa rasilimali za taifa, tuhesabiwe kwa dini zetu ili tuone mwishoni itakuwaje
Haya nyie wakristo mna akili nyingi zipi? Hizo za Ushoga makanisani. Askofu mkuu Anglicana Marekani Shoga , Padri Kimaro wa Mlimani, Askofu wa Moshi Vijijini. Hiyo ndoo akili!
Mimi sioni tatizo kujua idadi ya dini na waumini wake hapa nchini mbona nchi zingine takwimu kama hizi zipo wazi kuna nini Tanzania?
Haya nyie wakristo mna akili nyingi zipi? Hizo za Ushoga makanisani. Askofu mkuu Anglicana Marekani Shoga , Padri Kimaro wa Mlimani, Askofu wa Moshi Vijijini. Hiyo ndoo akili!