Share experiences kama umeshawahi kuuza au kununua Papuchi

Share experiences kama umeshawahi kuuza au kununua Papuchi

Kuna mdogo wangu mmoja mtu wa kununua malaya Tanga, siku moja alikuja dar akasema tumpeleke kituo akajichukulie mtoto tukampeleka manzese alichokutana nacho mpaka leo hajarudia tena. Ameacha kabisa[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] alikutana na mtoto mdogo tu lakini alikinai alikaa karibu miezi 6 hana mzuka (experience nimepata kwake)
Ha ha ha tushirikishe na sie mkuuu
 
Aku ushindwe wewe ndo mteja wao
ukweli ni kwamba, mademu wote mnauza, ndo maana hata boyfriend au mchumba wako kabisa unayempenda, asipokupa hela hata penzi haumpi la kueleweka, na unaweza kumwacha ukiona hela zimemuishia. kama sio kuuza ninini hiyo sasa? kuna mwanamke gani hajawahi kuchuna? ukishachuna tu si itabidi ulipe ili jamaa hela isimuume aone mmelipana? ndo kuuza huko.
 
nipeni pole...nimenusurika kukamatwa ugoni...nmeambulia kuteguka mguu kwa sabb ya kutoka nduki..

kiukweli nmekoma hii tqbia ya kutembeq na wake za watu.....nikipoa vizuri ntafungua uzi nieleze mkasa wote.....
Hembu bwana mdoo tuletee hii habari kabla halijachacha, ulisema ukipona vizuri utaleta habari au bado hujapona?
 
Kuna jumla na rejareja. Mke umemnunua jumla wa part tme inakuwa ni rejareja

Kuna cash na mkopo. Ukimpata leo asipokudai atakudai mbeleni direct or indirect

Ni biashara kati ya jinsia zote mbili maana kuna mnunuzi na muuzaji na ndo maana ya biashara na inaweza kuwa kwa cash au butter trade

Wote wafanyao haya walio rasmi (wachache) na wasio rasmi (wengi) wapo katika biashara

Mtazamo tu
 
Yaani kuna siku nilikua na shida ya hela ndefu kuna rafiki yangu akanishawishi kuuza... Yeye anaenda mahoteli makubwa na buku 10 tu anaagiza juice afu wanaume wanajileta kutongoza... Mdada anaishi maisha ya juu saana. Yaani kwa siku anaeza ingiza ata laki 3.
Sema tu dini imenikaa vizuri... Ningepotea! tamaa ya pesa mbaya sana.
siku io hukuuza??
 
Nipo kwa muda huku ndanda, sioni hizo mambo za uuzaji. Nadhani hizi mambo zipo kwenye majiji zaidi
kama sikosei unataka anwani ya sehemu inapopatikana huduma hio mahali hapo. watz wajanja sana[emoji2]
 
toka nipelekwe na demu wangu kupimwa ngoma sina ujasiri wa kuyarudia tena hayo matakata,nilikuwa najiuliza sana endapo ningepatikana na h.i.v mtoto mzuri ningemkosa hv hv na kesho asubuhi naletewa papuchi tamu ya mtoto
Papuchi tamu pia inaweza kuwa na virusi vya ukimwi. Kuwa makini.
 
Back
Top Bottom