Wengi wetu huwa tunajihusisha na biashara za ngono kwa mitindo tofauti. Mara nyingi experiences zinaonesha kuwa kwa wale ambao hujiusisha na biashara rasmi (kundi no. 1 & 2) huwa hawayafurahii sana maisha ya kazi hii, wengi hufanya kwa kulazimishwa na circumstances, out of frustrations (kwa wote muuzaji na mnunuzi). Ila kwa wengi walio katika kundi la 4, na mimi nikiwemo huwa tunaona kama ndio maisha ya kawaida, wengi kati ya wanaume tunaamini kuwa ukiwa na cash then unastahili kupata mapenzi na una haki ya kukosa au kudhulumiwa endapo hutoi huduma!
What is your experience na nini maoni yako ktk hili?
references:
What is your experience na nini maoni yako ktk hili?
references:
- Kwa wale wanaonunua/uza katika maeneo rasmi ya biashara, eg Jolly, Ohio -kwa wakongwe etc
- kwa wale wanaonunua/uza kwa "mabwenga"
- kwa wale wanaonunua/uza Bar
- kwa wale wanaonunua/uza kitaa- kundi hili ni lile la wadada wanaoishi kama nyumba ndogo. wao wanaotoa papuchi/wanaopewa papuchi kwa kutoa huduma za uendeshaji wa maisha na kupewa au kupata papuchi kunategemeana na utoaji/ulipaji wako wa bili. hakuna malipo hakuna game. Ni tofauti na kuwa na mwenza (regular) tegemezi.