daah..niliPita hiyo chocho miaka ya 2006/7....bado wapo??Hahahhaha iyo style inapatkana temekw hapo sudani ,,kuna kau chochoro flani hv amaizing ukikapita ndo unakutana na rooom kibao znatizmana milango alafu katkat kuna njia alafu kila mmoja amekaa mlangon anasubir mteja,,ni masaa 24,,,