supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,970
Hatua itachukuliwa na wahusika ndani ya serikali baada ya kuzungumza kama hivi kuliko kukaa kimya. Watu wakiendelea kuwa wazi ni rahisi mamlaka kufika na kuchukua hatua (Tanzania itajengwa kwa ushirikiano wetu sote na sio serikali pekee)..mkuu hii biashara bora vijumba vivunjwe vinaenda hadi vitoto vya miaka 16 kugonga wamama wale kama ukimwi wadogo zetu wanapotea
Si umeona yule mwizi SCORPIO anaeiba na kutoboa macho buguruni tayari jeshi la polisi limemkamata baada ya sauti ya jamii kusikika