Shape nzuri ya mwanaume inayovutia ni ipi?

Shape nzuri ya mwanaume inayovutia ni ipi?

Wanaume tutafute hela. Tukiwa na hela hata tukiwa na sura kama ya Comred Wasira tutaitwa bebies.
 
Navutia na hawa nawawe na ile kiatu ya kiasi nene
 

Attachments

  • images (82).jpeg
    images (82).jpeg
    26.1 KB · Views: 21
  • images (81).jpeg
    images (81).jpeg
    27.1 KB · Views: 16
Mwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.

N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa.
Helaaaa
 
Mwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.

N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa.
Tutafute pesa maisha yasonge mbele,mwanaume hana shape nzuri chamsingi wee miliki pesa tu.
 
Hakana heshima kabisa , mtu ukimpa nafasi ya utani wa kawaida tu sasa anataka avuke mipaka , kuna mipaka ya utani , ikizidi sana unaweza hata fumuliwa ubongo.
Anazingua sio Kila mtu anafagilia aina ya utani wake hasa ikija upande wa me, huko anavuka mipaka
 
😅😅😅😅😅😅😅 unamfungulia kaka Max kesi tena 😄😄😄😄 umemuona secretarybird alivyoshangaa mambo ya PM hee sijui kawaza nini.
Ahahaha huyo siku izi ana tumia bangi japo mara moja moja....

Naomba uzi ufunguliwe naandaa group hapa la watu wawili tuu ambalo litaitwa mwenye bahati apate
Ili mtu mwingine aweze ingia kwa grouo hana budi kutoa kiasi kidogo cha fedhwa cha shilingi alufu tano tu...

Ambayo hii pesa itakua kwa ajiri ya kusaidiana kama group... Ikitokea mwenzetu ana shida..

Naomba nimalize kwa kusema asante sana kwa utayari wako Bantu Lady 🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Ahahaha huyo siku izi ana tumia bangi japo mara moja moja....

Naomba uzi ufunguliwe naandaa group hapa la watu wawili tuu ambalo litaitwa mwenye bahati apate
Ili mtu mwingine aweze ingia kwa grouo hana budi kutoa kiasi kidogo cha fedhwa cha shilingi alufu tano tu...

Ambayo hii pesa itakua kwa ajiri ya kusaidiana kama group... Ikitokea mwenzetu ana shida..

Naomba nimalize kwa kusema asante sana kwa utayari wako Bantu Lady 🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Unajichekesha chekesha tu, uyo dada ananitaka mimi ila mimi simtaki, we unjitesa tu. mi nishawakataa wengi sana.
 
Back
Top Bottom