Shape nzuri ya mwanaume inayovutia ni ipi?

Shape nzuri ya mwanaume inayovutia ni ipi?

min -me Kuna ule Uzi umenitumia ule wimbo naona umefutwa Mbona thread haikua na shida

Nipo hapa nakula mangoma ya LAUREN SPENCE SMITHS _ THAT PART.

NGOMA NZURII FUPI NA TAMU SANAA😍
 
Unajichekesha chekesha tu, uyo dada ananitaka mimi ila mimi simtaki, we unjitesa tu. mi nishawakataa wengi sana.
Kumbe wewe ni chizi karogwa tena eeh? 🤣🤣🤣🤣 yaani nikutake wewe? Unamjua vizuri my Man wewe? Acha ujinga wewe, fikiria ana sifa zote ila hajawahi jisifia ujinga unaofanya wewe.

Hata nikimwambia ni handsome hapendi, wanaume wanaojiamini hawapendi kujisifia wala kusifiwa hivyo yeye anaona ni wanawake ndiyo wanafaa kusifiwa si wanaume hata kama wana sifa hizo. Haki sikujua una cheti mirembe 😅😅😅😅 Poor Brain mtu wako nakuachia huyo.
 
Kumbe wewe ni chizi karogwa tena eeh? 🤣🤣🤣🤣 yaani nikutake wewe? Unamjua vizuri my Man wewe? Acha ujinga wewe, fikiria ana sifa zote ila hajawahi jisifia ujinga unaofanya wewe.

Hata nikimwambia ni handsome hapendi, wanaume wanaojiamini hawapendi kujisifia wala kusifiwa hivyo yeye anaona ni wanawake ndiyo wanafaa kusifiwa si wanaume hata kama wana sifa hizo. Haki sikujua una cheti mirembe 😅😅😅😅 Poor Brain mtu wako nakuachia huyo.
😂😂😂😂
Mnanichekesha nyie watu, Lol
 
Kumbe wewe ni chizi karogwa tena eeh? 🤣🤣🤣🤣 yaani nikutake wewe? Unamjua vizuri my Man wewe? Acha ujinga wewe, fikiria ana sifa zote ila hajawahi jisifia ujinga unaofanya wewe.

Hata nikimwambia ni handsome hapendi, wanaume wanaojiamini hawapendi kujisifia wala kusifiwa hivyo yeye anaona ni wanawake ndiyo wanafaa kusifiwa si wanaume hata kama wana sifa hizo. Haki sikujua una cheti mirembe 😅😅😅😅 Poor Brain mtu wako nakuachia huyo.
Amekuja tu gafula kama mchawi..
Katumwa nini huyo jamaa
😂😂😂😂😂
 
Kumbe wewe ni chizi karogwa tena eeh? 🤣🤣🤣🤣 yaani nikutake wewe? Unamjua vizuri my Man wewe? Acha ujinga wewe, fikiria ana sifa zote ila hajawahi jisifia ujinga unaofanya wewe.

Hata nikimwambia ni handsome hapendi, wanaume wanaojiamini hawapendi kujisifia wala kusifiwa hivyo yeye anaona ni wanawake ndiyo wanafaa kusifiwa si wanaume hata kama wana sifa hizo. Haki sikujua una cheti mirembe 😅😅😅😅 Poor Brain mtu wako nakuachia huyo.
Sitaki kubishana na wewe ili uendeleee kujipa moyo ila jua tu siku ukikutana na mimi hata maneno yatakuisha kabisa, hutakua na nguvu ya kuongea. Naandika from experience, you will be trembling and trying to hold yourself. Trust me, am all the man you have ever wished to have.
 
Back
Top Bottom