Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,148
Sasa hapo swali gumu ni lipi, very childish.Mkuu,
Mbona hujatuletea Cross Examination baina ya Mawakili upande wa Mtuhumiwa pamoja na Shahidi?
Ukikutana na Mawakili wanaouliza maswali ya kiakili, mashahidi wengine wangekataa kutoa Ushahidi.
Umesema umepigwa karibu na kifo, unaweza kuelezea mahakama hii kifo ni nini? Nusu yake je? Umewahi kufa ukajua kukoje?
Umesema umefungwa miguu na pingu, kweli au si kweli? Miguu yako ina mzunguko kiasi gani? Iweje pingu ya kufungia mikono ikaweza kukufunga Miguu?
Kwa mfano, haufahamu kama pingu ni adjustable? Yaani hilo nalo ni swali.