Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,731
Aisee?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo ni miongoni mwa wanufaika wa bia za bureAisee.. halafu anakuja mtu anajiita sijui Idugunde anamtetea Sabaya hatari.. Yaani anamsafisha lakini ni ngumu sana kumsafisha
Ana manyuzi ya kutosha kumtetea huyo jamaa..!!!! Wakati mtu katoka nje ya wilaya na mkoa kwenda kutumia bunduki kwenye maduka ya watu huku akitaka apewe vitu mbalimba..!!! Yaani hata kama ni kesi ya uhujumu uchumi, kwani Arusha haina mkuu wa wilaya kama yeye?huyo ni miongoni mwa wanufaika wa bia za bure
Huyu Sabaya ni wa kunyonga tu mpaka AFE.
Na kabla hawajamnyonga anatakiwe afirimbwe na wachawi,wehu na punda 3.
Itunze hii... Usisahau mashahidi wapo wengi.. Kama katika wote umemuona huyo mmoja kwamba kachemka, basi utachemka wewe.. By the way, shahidi kaweka maelezo kwa mtiririko wa matukio.Mbona jamaa hana kesi hata moja,mimi nawamaambiwa wale kwerea kwerea waliokuwa wanalipuka kwa shangwe kwamba sukumagang wameanza kuona moto.
Maswali gani ya kijinga hivi?au huna akiliMkuu,
Mbona hujatuletea Cross Examination baina ya Mawakili upande wa Mtuhumiwa pamoja na Shahidi?
Ukikutana na Mawakili wanaouliza maswali ya kiakili, mashahidi wengine wangekataa kutoa Ushahidi.
Umesema umepigwa karibu na kifo, unaweza kuelezea mahakama hii kifo ni nini? Nusu yake je? Umewahi kufa ukajua kukoje?
Umesema umefungwa miguu na pingu, kweli au si kweli? Miguu yako ina mzunguko kiasi gani? Iweje pingu ya kufungia mikono ikaweza kukufunga Miguu?
Ishu sio ushahidi wa mtu mmoja,ni patern nzima ya tuhuma zinazomkabili sabaya,zimejaaa chuya kibao.Itunze hii... Usisahau mashahidi wapo wengi.. Kama katika wote umemuona huyo mmoja kwamba kachemka, basi utachemka wewe.. By the way, shahidi kaweka maelezo kwa mtiririko wa matukio.. Tukio zima linaweza likawa limechukua masaa manne, lakini ukalisimulia kwa dakika 20 tu.. Unapopataka ni kuwa alizimia na kusikia kwa wakati mmoja..!! kumbe ni usimuliaji ila kiuhalisia kulikuwa na nterval
Unaamini katoka hayo yote, YOTE ANAONEWA? Na anaonewa na kila mtu?Ishu sio ushahidi wa mtu mmoja,ni patern nzima ya tuhuma zinazomkabili sabaya,zimejaaa chuya kibao.
Sabaya analalamikiwa kubaka wanawake zaidi 40,japo kesi hii haijajumuishwa,sabaya analalamikiwa kupora 30 elfu kwa kutumi silaha...
Mbona zile za mashaidi kushindwa kutetea ushaidi hamleti
Kuna mambo ili ufanye inapaswa uwe kichaa kwanza.Unaamini katoka hayo yote, YOTE ANAONEWA? Na anaonewa na kila mtu?
Kwani tulitoka huko lini mkuu?Duh hii nchi tulishafika pabaya.