ndiyo mkuu..karibu 0683473391Mkuu Vipo bado?
Amen, ubarikiwe pia mkuu.da! ubarikiwe sana mkuu
Jumura tena?Jumura shiringi ngape ndugu yangu kwa vitu vyoote?
hahhah asili tu mkuuJumura tena?
kweli mkuuHii sehemu inaonekana imechangamka,Vijana wachangamkie fursa.
Shida ni nini hapo?Jumura tena?
mkuu sio frem as frem....ni eneo la uwazi....na kwenye mkataba wangu bado zipo siku tano..kwa hiyo kimsingi bado mimi nipo.....eneo ni 10k kwa sikuMkuu naomba connection ya Hiyo Frem kama bado ipo. au kama bado inapangishwa
Oooh safi location ni wapimkuu sio frem as frem....ni eneo la uwazi....na kwenye mkataba wangu bado zipo siku tano..kwa hiyo kimsingi bado mimi nipo.....eneo ni 10k kwa siku
Hakuna shidaShida ni nini hapo?
kinondoni mkuuOooh safi location ni wapi
lipo mkuu.....unasema zile deep fliers?Kuna jiko flan lile la Umeme la Kuchoma Chips sijui linaitwaje lakini hapo sijaliona
daaah kumbelipo mkuu.....unasema zile deep fliers?
nakushauri usije kuzitumia zinakula umeme faida nzima...niliziuza nikanunua jiko la mkaa wa chenga lina feni yake..linawaka kuliko hata umeme...
ndiyo mkuu..nilitumia siku karibia nane hiv napata hasara...kazi ya chips inahitaji kwenda na hesabu....watu walikuwa wanasema mara oh ndoo moja ya viazi utoe sh 35k...hapo ukigawa kwa sahani unakuta zinatoka sahani 25 hiv....daaah kumbe