Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

ndiyo mkuu..nilitumia siku karibia nane hiv napata hasara...kazi ya chips inahitaji kwenda na hesabu....watu walikuwa wanasema mara oh ndoo moja ya viazi utoe sh 35k...hapo ukigawa kwa sahani unakuta zinatoka sahani 25 hiv....
nikakaa kwenye daftari..nikafanya hesabu....mwishowe nikawa natoa sahani 40 au 41.....unaona sasa hapo ukifanya bila kuwa na hesabu unajikuta hela unazipoteza kwenye natumizi....then nikspunguza wafanyakazi pia nikatoa na hizo deep fliers...nikatumia
jiko la feni....baada ya kufanya hayo...kwenye ndoo moja unakuta unapata faida kubwa saaaaaaana...ukiuza ndoo moja tu na ukawa unaenda na hesabu unajikuta faida unamzidi yule anayeuza uza tu bila hesabu hata akiuza ndoo mbili....sasa imagine ukaenda na hesabu afu ukauza gunia moja...faida sana utapata
Elimu nyingine Hii
 
ndiyo mkuu..nilitumia siku karibia nane hiv napata hasara...kazi ya chips inahitaji kwenda na hesabu....watu walikuwa wanasema mara oh ndoo moja ya viazi utoe sh 35k...hapo ukigawa kwa sahani unakuta zinatoka sahani 25 hiv....
nikakaa kwenye daftari..nikafanya hesabu....mwishowe nikawa natoa sahani 40 au 41.....unaona sasa hapo ukifanya bila kuwa na hesabu unajikuta hela unazipoteza kwenye natumizi....then nikspunguza wafanyakazi pia nikatoa na hizo deep fliers...nikatumia
jiko la feni....baada ya kufanya hayo...kwenye ndoo moja unakuta unapata faida kubwa saaaaaaana...ukiuza ndoo moja tu na ukawa unaenda na hesabu unajikuta faida unamzidi yule anayeuza uza tu bila hesabu hata akiuza ndoo mbili....sasa imagine ukaenda na hesabu afu ukauza gunia moja...faida sana utapata
safi sana.
 
safi sana.
kwa hiyo...hapo sijaweka juice,mishkaki,kuku,na ndizi..vyote vina faida......hasa juice ndo unatumia 25k mtaji unatoa 60k hapo faida unaona ni 35k..na hapo ni juice nimeuza 1000...je ukiuza 2000 au 1500 faida ni kubwa.....au ukiamua utengeneze nzito zaidi ni wewe tu...ki msingi biashara hii ukiwa na mtaji inalipa sana.....

mimi nimefunga kwa muda...nikoshaweka mambo yangu sawa..nitarudi tena hata kama itapita mwaka..ila nitarudi
 
Juice Dispenser 1.5M? Hiiii mbona mpya? Tena used?
mkuu hii 1.5 M mitungi mitatu ikiwa mpya na box lake

hii yangu nishaitumia ndo maana nauza 850000 tu....hapo unavoona nje kuchoka ni sticker tu ilichakaa ikachafuka..ila ukitaka unaweka stick nyingine nyeupe unatoboa hizo sehemu za hewa mashine inakuwa mpya tu


juice dispenser za mitungi miwili ndo 1 - 1.2 M

ila sasa kibiashara mitungi mitatu ndo nzuri unaweka juice tofauti tofauti

mimi nilikuwa naweka 1..embe passion
2...strawberry
3...rosella
 
Elimu nyingine Hii
Screenshot_20250725_210348_WhatsAppBusiness.jpg


miki ndo nilimuuzia hizo hapo...huyu anauza vitu used.....
 
Back
Top Bottom