Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

1.Juice dispenser mitungi mitatu...850000 mpya huwa ni 1.2 hadi 1.5M...hiyo yangu n kuiwekea sticker mpya tu inarudi upya wake

2. kabati mbili zote ni 180,000

3.meza mbili hizo fupi na hivo viti vizima vyote ni 150,000

4.meza moja ndefu na viti vyake vitatu vyote ni 120,000

5.friji heavy duty..inagandisha na ni kuubwa bei yake ni 500,000

6..vyombo ( sahani,bakuli,vikaango,ndoo etc ) vyote ni 70,000

7..karai....ni 20,000

8..majiko ( la feni, la mishkaki na la kawaida ) vyote ni 100,000

9..frem ya tv inch 43 ni 30,000

10..mtungi wa gesi....ni 40,000

11.meza ya kumenyea au kupanga saani ni 30,000

12.baiskeli kubwa na ina vikapu bei ni 100,000

13...sink la kuoshea vyombo....ni 40,000

JUMLA NI 2,230,000....

MAHALI
dar es salaam kinondoni
SIMU
0683473391
 
Kwanini usitafute mtu muingie makubaliano muendeleze ofisi au kuna changamoto la eneo?
Mkuu kila mtu ana malengo yake katika biashara...kwa kusema hivo...binafsi nina malengo yangu mengine tofauti...

huwenda sipendi kufanya biashara
huwenda nimepata ajira nyingine
huwenda nina hamia sehemu nyingine
huwenda ninataka kufanya biashara nyingine
etc

mi nauza vifaa vyote karibu mkuu...kama ukihitaji nahisi na eneo litakuwepo bado siku kama saba muda wangu kwenye hilo eneo uishe
 
Poor Brain usianze kulalamika ajira vitu hivyo anza kazi, Intelligent businessman sasa ujobless bas achia kijiti cha uenyekiti kwa mwingine kazi hiyo apo.
tena kwa bei nzuri kabisa na ni complete set..na ni vifaa vyenye quality.ni kitendo cha kuhamisha tu ofisi na kuwrka bango lako kwenye ofisi yako mpya
 
Back
Top Bottom