Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

Kama unataka mnunuzi mmoja taja bei ya Jumla kisha Orodhesha Vitu tu.Ili mtu ajipime usitupe kazi ya kujumlisha
 
Kama unataka mnunuzi mmoja taja bei ya Jumla kisha Orodhesha Vitu tu.Ili mtu ajipime usitupe kazi ya kujumlisha
1.Juice dispenser mitungi mitatu...850000 mpya huwa ni 1.2 hadi 1.5M...hiyo yangu n kuiwekea sticker mpya tu inarudi upya wake

2. kabati mbili zote ni 180,000

3.meza mbili hizo fupi na hivo viti vizima vyote ni 150,000

4.meza moja ndefu na viti vyake vitatu vyote ni 120,000

5.friji heavy duty..inagandisha na ni kuubwa bei yake ni 500,000

6..vyombo ( sahani,bakuli,vikaango,ndoo etc ) vyote ni 70,000

7..karai....ni 20,000

8..majiko ( la feni, la mishkaki na la kawaida ) vyote ni 100,000

9..frem ya tv inch 43 ni 30,000

10..mtungi wa gesi....ni 40,000

11.meza ya kumenyea au kupanga saani ni 30,000

12.baiskeli kubwa na ina vikapu bei ni 100,000

13...sink la kuoshea vyombo....ni 40,000

JUMLA NI 2,230,000....
 
kuna ambao nawapata ila sio wa kulipia sasa hiv ni mipango ya siku za mbele...wengine wanataka kifaa kimoja kimoja ila napo hawafiki bei....

asante mkuu
Poa endelea kupambana ila punguza bei kidogo kwa mfano hizo jiko mbili bei umeikaza sana.
 
kuna ambao nawapata ila sio wa kulipia sasa hiv ni mipango ya siku za mbele...wengine wanataka kifaa kimoja kimoja ila napo hawafiki bei....kimsingi sijapata mteja
Kinondoni kuna biashara kama hizo za jikoni sijui imekuwaje mkuu
 
Poa endelea kupambana ila punguza bei kidogo kwa mfano hizo jiko mbili bei umeikaza sana.
mkuu nimekaza sana wapi??
jiko hilo la feni....ni 75000
jiko hilo la mishkaki........ni 30000
jiko lingine hilo nalo ni....35 hadi 40000
jumla ni 140,000 hadi 150,000


ila mimi nauza zote 100,000...je hapo nimekaza vip?
 
Kinondoni kuna biashara kama hizo za jikoni sijui imekuwaje mkuu
mkuu mimi haijashindikana....ila nimeacha maksudi
chips ilikuwa ni kama extra...ila kuna main goal yangu nahitaji kuifanya...actually iko inaendelea...ndo maana nauza......kinondoni biashara ipo sana tu...hata kama sio kinondoni...dsm nzima kuna biashara sana ya chips na juice...ni biashara nzuri.....
 
Hii mishe ni full package

Inahamasishaa kinoma
karibu mkuu..yaan hapo ukianza kununua kimoja kimoja bei ni parefu saana..ndo maana naviuza kwa bei ndogo pamoja..ila ukisema uanze kwenda madukan na sokon kununua itakuwa ni karibia kwenye m3 na nusu huko
 
Back
Top Bottom