Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

Nataka kufahamu kilo ya nyama inagharimu kiasi gani hadi inakamilika kuitwa mishkaki na inatoa mishkaki mingapi ya Sh. 500 yaani mtaji na faida ya kg 1 ya nyama.
 
Nataka kufahamu kilo ya nyama inagharimu kiasi gani hadi inakamilika kuitwa mishkaki na inatoa mishkaki mingapi ya Sh. 500 yaani mtaji na faida ya kg 1 ya nyama.
inafuatana unanunua wapi

ukienda machinjioni ndo bei ndogo zaidi

ukienda bucha steki utauziwa kama 13000 hiv
humo inabidi itoke mishkaki 40 ya mia tano mia tano

20000-13000..= faida hapo ni 7000
viungo huwezi hesabu kwa kuwa hununui kila siku

na hata ukienda kununua ni bei ndogo sana vinakaa siku kadhaa...
so kwa kilo moja faida itoke 7000
 
inafuatana unanunua wapi

ukienda machinjioni ndo bei ndogo zaidi

ukienda bucha steki utauziwa kama 13000 hiv
humo inabidi itoke mishkaki 40 ya mia tano mia tano

20000-13000..= faida hapo ni 7000
viungo huwezi hesabu kwa kuwa hununui kila siku

na hata ukienda kununua ni bei ndogo sana vinakaa siku kadhaa...
so kwa kilo moja faida itoke 7000
Ahaa asante mkuu.
 
ila ukinunua sokoni...mfano kile kindoo cha lita kumi..unaweza pata nyama kwa 40k...na humo zimo kilo nyingi...ukiweka kwenye fridge unapata faida kubwa zaidi.....ila sasa hizo ni nyama za kufata saa kumi au tisa usiku machinjioni😄
Ahaa nimekusoma mkuu, asante kwa hii elimu.
 
Back
Top Bottom