Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

Set nzima ya vifaa vya chips inauzwa

From your experience anayekuja akifanya kama wewe ulikuwa unafunga mauzo na profit kiasi gani ? Kama hii information inaweza kutoka nadhani itasaidia watu kufanya maamuzi hususan karne ya vyuma kukaza...
nilikuwa nauza ndoo moja na nusu ya viazi..sometimes ndoo mbili...juice lita kama karibia 30 hiv

profit hapo ilikuwa inaenda 70k au 60k

kwa hiyo kama ukitaka kuendelea karibu au kama ukitaka kuhamishia sehemu inawezekana..bado siku saba hiv mkataba wangu uishe

kodi per day 10k

ki ufupi kila kitu kiko sawa
mimi nina mishe mingine nahitaji kufanya sehemu mbali na hapo ndo maana
 
nilikuwa nauza ndoo moja na nusu ya viazi..sometimes ndoo mbili...juice lita kama karibia 30 hiv

profit hapo ilikuwa inaenda 70k au 60k

kwa hiyo kama ukitaka kuendelea karibu au kama ukitaka kuhamishia sehemu inawezekana..bado siku saba hiv mkataba wangu uishe

kodi per day 10k

ki ufupi kila kitu kiko sawa
mimi nina mishe mingine nahitaji kufanya sehemu mbali na hapo ndo maana
Naona juice hapo inakwenda vizuri..., nilitaka tu kuongeza / watu wapate information ya kufanya maamuzi as humu wengi pesa wanazo ila wanataka kuwekeza hivyo profit / mradi kwao ni muhimu..., all the best mkuu na mwenye pango sio msumbufu / matatizo ?
 
Naona juice hapo inakwenda vizuri..., nilitaka tu kuongeza / watu wapate information ya kufanya maamuzi as humu wengi pesa wanazo ila wanataka kuwekeza hivyo profit / mradi kwao ni muhimu..., all the best mkuu na mwenye pango sio msumbufu / matatizo ?
hapana hana tatizo....kwanza kama ni mama mtu mzima tu na mpolena mtaratibu...ki ufupi hamna issue ngumu...nadhan kila mtu anashangaa why nimeacha..anyway anayehitaji vitu anicheck
 
Mkuu uliombwa picha ya baiskeli na wadau hapo juu.
sikuipost kwa sababu mimi niko gongolamboto na vifaa vyangu viko kinondoni....niliiacha kwa fundi alienda kuniwekea kapu la kufanyia delivery....ndo maana nilikuwa sijaipiga picha

ila kama mtu akiwa serious na manunuzi naenda namchukulia tu..hiyo sio issue sana
 
sikuipost kwa sababu mimi niko gongolamboto na vifaa vyangu viko kinondoni....niliiacha kwa fundi alienda kuniwekea kapu la kufanyia delivery....ndo maana nilikuwa sijaipiga picha

ila kama mtu akiwa serious na manunuzi naenda namchukulia tu..hiyo sio issue sana
Sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom