Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Wizara ya Habari itawalipia Maafisa Habari wote viingilio vya kwenda kushuhudia mchezo wa Tanzania dhidi ya Uganda kwenye Uwanja wa Mkapa (Jumanne Machi 27. 2023).
Waziri Mkuu amesema hayo wakati akihutubia katika Kikao Kazi cha 18 cha Maafisa Habari, Uhusiano na Mawasiliano wa Serikali kinachofanyika kwenye Ukumbi wa Mwalimu Njerere, Dar es Salaam, leo Jumatatu Machi 27, 2023.
Mbali na kuwalipia kiingilio cha mchezo huo, Msemaji wa Serikal, Gerson Msigwa amesema Wanahabari hao wataandaliwa usafiri pia wa kwenda na kurudi.
Mchezo huo wa kuwania Kufuzu Michuano ya Afrika AFCON ni wa marudio baina ya timu hizo baada ya Tanzania kushinda goli 1-0 katika mchezo uliopita wa Kundi F.
Waziri Mkuu amesema hayo wakati akihutubia katika Kikao Kazi cha 18 cha Maafisa Habari, Uhusiano na Mawasiliano wa Serikali kinachofanyika kwenye Ukumbi wa Mwalimu Njerere, Dar es Salaam, leo Jumatatu Machi 27, 2023.
Mbali na kuwalipia kiingilio cha mchezo huo, Msemaji wa Serikal, Gerson Msigwa amesema Wanahabari hao wataandaliwa usafiri pia wa kwenda na kurudi.
Mchezo huo wa kuwania Kufuzu Michuano ya Afrika AFCON ni wa marudio baina ya timu hizo baada ya Tanzania kushinda goli 1-0 katika mchezo uliopita wa Kundi F.