Km unatumia cheti cha form four weka NECTA ,Sema ukifka kwenye kipengele cha kuhakiki ndoshida inakua hapo wanasema taarifa sio sahihi.
Jaribu kutumia email Mimi imekubaliSystem haifanyi kazi inavyotakiwa, hivi watalaam wetu wa IT wameshindwa kabisa kuweka settings ambazo website mahsusi kwa ajili ya kuombe ajira ikawa haipati breakdown kama ilivyo sasa? Taarifa unajaza kwa usahihi kabisa lakini unaambiwa “particulars does not match” it sucks
Cjakupata kaka, maana sie tunaofungua kwa Mara ya kwanza haikubaliTumia barua bebe tofauti na ya awali, au tumia namba yako ya mtihani ya kidato cha 4, inayanza na S iliyopo kwenye chako
Kama ni kwamara ya kwanza hapo ni changamoto ila kwa email ni wale waliokwishafunguaCjakupata kaka, maana sie tunaofungua kwa Mara ya kwanza haikubali
OK, maana kiunganishi cha kujisajili hakunaKama ni kwamara ya kwanza hapo ni changamoto ila kwa email ni wale waliokwishafungua
You know little, though you talk much.We jamaa unalalamika sana aisee sijui unataka serikali ikufanyie nini sasa
Hakuna ulazima wa wewe kuingiza taarifa za kufundisha kama hujawahi kufundisha na zipo options zote kama hujawahi kufundisha/ kujitolea unaachana na kipengere hicho unaendelea na taarifa zingine mbona ipo wazi tu hiyo?
Hizo barua za kufundisha ni barua ambazo unathibitishwa na mkuu wako wa kituo ulicho kuwa ukijitolea/ukifundisha na ikowezekana ofisa elimu kata waipitishe kuthibitisha huko kujitolea kwako
sasa sijui unalalama unatakaje, ? Sasa wewe utasema ulifundisha sawa kielelezo kwamba ulifindisha ni kipi? We hutaki kiulizwe? Watajiridhishaje kwamba usha wahi fundisha au wataota kwenye ndoto?
Na ukiona shule haipo kwenye list maana yake haipo kwenye orodha ya shule zenye uhitaji wa walimu sasa ulitaka waiweke ya nini?
We kama una aina yako ya ajira unayo itaka uletewe basi acha kuomba wenye shida wataomba hizi zilizopo. Usije kupotosha watu hapa kwa jambo ambalo linatokana na uelewa wako kuwa mdogo
Yaan hapo unastress za kuto ajiliwa halafu unajiongezea misononeko iso na tija.
Serikali haiwezi ajili walimu wote ....ulishauriwa jitolee kuna faida yake wewe ukakomaa boda boda sasa leo unalalamika tukusaidiaje????
Huyu tena ndio aliyesababisha yote HayaBora kumbe na Marehemu yeye alikuwa wazi tu.
R.I.P JPM.
Fikiri kabla ya kuandika.We jamaa kwani ulitakaje? Kusiwe na vigezo vya kuajiri au kuomba?.
Sometimes kuwa positive mwalimu!
Frastreni ndio nini? Au ulijifunzia kiingereza kijiweni!Huyo magufuli si ndo alizuia ajira kwa miaka zaidi ya mitano? Au una frastreni zako?
Tatizo mnaongea bila kujua maana ya Elimu.Mnachukulia elimu km siasa zenu za CCM. Cursed!Hakuna ajira zinazo toka bila criteria.na huwezi kuajiri hovyo bila utaratibu wala vipaombele eti kisa tu kwa vile kuna uhaba wa walimu
Waliokua wanajitolea na wasiojitolea utawabaini vipi? Maana kigezo cha barua zakujitolea wote wanakua nazo tofauti ni mmoja anatumia Tsh 20,000- 50,000 kuipata kwa mkuu wa shule na mwingine anapewa bure.Wapewe kwanza waliokuwa wanajitolea... Waliokuwa nyumbani waendelee kusubiri.
Tatizo mnaoongea wote ukute mliishia form 2.Kavurugwa na maisha uyo
Kweli, lakini ajabu wana maisha mazuri kuliko wewe, na wamejiajili na kuajili watanzania wenzioTatizo mnaoongea wote ukute mliishia form 2.
Kujitolea ndio nini?? Criterion ya kijinga sana hiiHakuna ajira zinazo toka bila criteria.na huwezi kuajiri hovyo bila utaratibu wala vipaombele eti kisa tu kwa vile kuna uhaba wa walimu
Equivalent una weka number ipiKm unatumia cheti cha form four weka NECTA ,Sema ukifka kwenye kipengele cha kuhakiki ndoshida inakua hapo wanasema taarifa sio sahihi.
HuwezHivi kama unakilakitu lakin umemaliza 2020 ,unaweza kuomba hizi ajira
Wewe ni nani hasa Tanzania hii, mpaka useme siweziHuwez