Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Km unatumia cheti cha form four weka NECTA ,Sema ukifka kwenye kipengele cha kuhakiki ndoshida inakua hapo wanasema taarifa sio sahihi.

System haifanyi kazi inavyotakiwa, hivi watalaam wetu wa IT wameshindwa kabisa kuweka settings ambazo website mahsusi kwa ajili ya kuombe ajira ikawa haipati breakdown kama ilivyo sasa? Taarifa unajaza kwa usahihi kabisa lakini unaambiwa “particulars does not match” it sucks
 
Jaribu kutumia email Mimi imekubali
 
You know little, though you talk much.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…