Damy Dee
Member
- Sep 30, 2016
- 83
- 96
Km unatumia cheti cha form four weka NECTA ,Sema ukifka kwenye kipengele cha kuhakiki ndoshida inakua hapo wanasema taarifa sio sahihi.
System haifanyi kazi inavyotakiwa, hivi watalaam wetu wa IT wameshindwa kabisa kuweka settings ambazo website mahsusi kwa ajili ya kuombe ajira ikawa haipati breakdown kama ilivyo sasa? Taarifa unajaza kwa usahihi kabisa lakini unaambiwa “particulars does not match” it sucks