Serikali yangu haijanitendea haki

Serikali yangu haijanitendea haki

by Mamndenyi;
Amechagua kozi ya priorty. Na kapangiwa hiyo hiyo. Kweli asipewe hata single cent. Hii nchi imekuwaje.



Mama mamDenyi hii nchi mbona nzuri tuuu, Kidumu cha cha mapinduzi!
Tulia msumari wa moto ukuingie vzr maana huwa unajitoaga ufahamu!

cc
shost yako faizafox

Unikome.

Huyo hakuna tatizo hapo ka panic tu. Aende akaonane nao bodi ya mikopo, kila kitu kiko wazi, kama walikosea watampa kama hajakidhi vigezo amtafutie chuo tu, siku hizi vyuo mpaka vichochoroni vipo.
 
Last edited by a moderator:
Aisee pengine kwenye ujazaji Wa form na anaweza pata akikata rufaa

Ninachokushauri usihame CCM kwa mambo haya yakupita tu.

sikiliza. Fomu iko sawa hakuna kosa. Hayo ya ccm yanakujaje. Ndo msaada wako huo?
 
Aisee pengine kwenye ujazaji Wa form na anaweza pata akikata rufaa

Ninachokushauri usihame CCM kwa mambo haya yakupita tu.

Kama ni mambo ya kupita mlipiebinti yangu. Sitaki unafiki mimi.
 
sikiliza. Fomu iko sawa hakuna kosa. Hayo ya ccm yanakujaje. Ndo msaada wako huo?


Hapana naona watu wanakupandikiza chuki uchukie CCM ndio maana nikasema vile but sorry Kama nimekukwaza....

Ukikata rufaa naamini utapata pia nikirudi tutawasiliana tujue chakufanya.
 
Unikome.

Huyo hakuna tatizo hapo ka panic tu. Aende akaonane nao bodi ya mikopo, kila kitu kiko wazi, kama walikosea watampa kama hajakidhi vigezo amtafutie chuo tu, siku hizi vyuo mpaka vichoc
horoni vipo.

Akukome nani? Halafu mambo yakuja juu juu na mausingizi yako hapa uache. Lala huko.
 
Hapana naona watu wanakupandikiza chuki uchukie CCM ndio maana nikasema vile but sorry Kama nimekukwaza....

Ukikata rufaa naamini utapata pia nikirudi tutawasiliana tujue chakufanya.


Bodi wamenitumua.
Ukirudi kutoka wapi. Ahera au......
Kwani ccm ni mama yangu?
 
Bodi wamenitumua.
Ukirudi kutoka wapi. Ahera au......
Kwani ccm ni mama yangu?


CCM ndio chama cha wanyonge...kimetutoa mbali ingawa si mama Yetu lakini ni chama pekee cha kukiamini...

Usipanic yanapita tu.
 
CCM ndio chama cha wanyonge...kimetutoa mbali ingawa si mama Yetu lakini ni chama pekee cha kukiamini...

Usipanic yanapita tu.


Ili niwe sawa na wewe niambie kosa la kumfanya binti yangu asipewe hata 10%.
 
CCM ndio chama cha wanyonge...kimetutoa mbali ingawa si mama Yetu lakini ni chama pekee cha kukiamini...

Usipanic yanapita tu.

Nilijitahidi kukivaa chama hata wazee wa kanisani wakanijua. Leo nikawatembezee bakuli kuombamsaada wa kusomesha mtoto aliyefaulu na kaomba kozi priorty, kwako hii imekaaje?
 
Mkuu mambo ni mengi hasa ya system zetu ndio maana HESLB wana update list Mara kwa mara....

Lets say jana nikiwa pale wamewapa vijana wanne mkopo machoni kwangu.
Kwanini wasimpe na binti yangu?
 
Nilijitahidi kukivaa chama hata wazee wa kanisani wakanijua. Leo nikawatembezee bakuli kuombamsaada wa kusomesha mtoto aliyefaulu na kaomba kozi priorty, kwako hii imekaaje?

Kwanini utembeze bakuli?? Uwezo Wa kusomesha huna?? Inamaana kumbe unajulikana kabisa wewe ni kiongozi Wa CCM why hukuomba msaada mapema ili system ikusome??

Umeonana na Rugema MNEC hapo kwamfipa?
 
Back
Top Bottom