Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,589
- 272,327
Sasa wewe hasira za kukosa mkopo tu....Hebu fikiria hasira za Watanzania milioni 45 kuhusiana na ufisadi, ujangili, ugaidi, utajiri wa nchi kuwanufaisha wachache, watoto wako kukosa mikopo/ajira huku wakiambiwa wajiajiri wakati hawana mitaji ya kuanzia biashara na wao wenye mitaji ya kuanzia biashara watoto wao wanawaingiza kinyemela katika taasisi mbali mbali nchini, hasira za kuona mikataba ya mbali mbali nchini haijali maslahi ya nchi hata kidogo. Warudishie kadi ya Mamndenyi.
Ha! Ha! Haaa !! kila siku TUNAWAELEZA HUMU LAKINI HAWASIKII , KESHO UTASIKIA LE MUTUZ ANALIA , ATASAHAU KWAMBA YEYE ALISOMA BURE !
Last edited by a moderator: