Kwanini utembeze bakuli?? Uwezo Wa kusomesha huna?? Inamaana kumbe unajulikana kabisa wewe ni kiongozi Wa CCM why hukuomba msaada mapema ili system ikusome??
Umeonana na Rugema MNEC hapo kwamfipa?
Jibu gani?
Nionane naye ili iweje?
Eti uwezo wa kusomesha huna. Hiyomikopo ni ya nini sasa.
Lala tu. Naona tunaenda kubaya.
inatia hasira hii nchi
Bado wanasema ccm inaweza kuendelea kuwepo kwa lipi labda huu upuuzi wa ccm hauvumiliki tena
Bado wanasema ccm inaweza kuendelea kuwepo kwa lipi labda huu upuuzi wa ccm hauvumiliki tena
Hivi mtoto wa kike kakwepa mangapi hadi fom six tena.shule za nyerere na kapata a.
Ananyimwa mkopo bila sababu.
Serikali itoe tamko kuhusu shule zake . Vingjnevyo tuseme sisi.
Kwanini niweke plan b while she is clever?
Inahusika sana au hujui?