Sijui ndio yaani Leo unainanga CCM kisa mwanao kakosa mkopo??
Mbona hukuinanga walipokosa wengine miaka ya nyuma??
Huu ni ubinafsi...
Hujui nilikotokea ndiyo maana unaweza kusema hivi. Muulize chama anaweza kukuambia. Naanza huku wewe bado mchanga sana.
Na siku zote ukiona anayelia sana ndiye mfiwa.
Please najuwa ninachokisema. Usinifundishe. Amechagua logistics and transport mgt.
Unataka kusema sijui?
Leo umetutembelea huku?
nakujaga kujaga kuchungulia
Nabeba sana mabango mkuu.
Kada?
Samahani kama nimekukwaza naona umepanic sana!!kuna option nyingine anaweza kuitumia lakini baada Ya kudailiwa chuoni aende bodi ya mikopo na kila kitu kinachohusu udahili wake hapo chuoni kwake wanaweza wakampa!!hiyo niliona wanafanya baadhi ya wanafunzi miaka ya 2009,2010,2011 na 2012 wakapewa mikopo.
Ikibumbukwe walivyotoa majina hawakupata kabisa hata cent lakini walivyodahiliwa walienda bodi wakawaeleza matatizo yao then wakapewa
Umejuaje mi ni mchanga?
Kilichonitia mashaka ni kuwa sijawahi ona ukitetea waliokosa huko nyuma zaidi naona Leo unawaka Sana sababu ya mwanao kukosa...
Anyway pole Sana kada mwenzangu...
Unajua maana ya kada wewe!?
Unataka nikujibu nini sasa?
Kimya kimya kimya.
Ngoja niende shamba mwenzio huku ni kulima kwa kwenda mbele.
Kabla yakunijibu soma kitabu cha tcu guideline cha mwaka huu.
Acha kudandia gari kwa mbele utaumia.