Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,860
- 812
jamani pole eeh, ela zilikuwa bize na BMK, hata za wale UKAWA hamna chenji, pia ESCROW akaunti imefilisi nchi, mabalozi wamegomea makabidhiano ya katiba, wahisani hawajatupa ela. nimekumbuka na zingine zipo kwenye mwenge. ushauri mfuate sita ana mil 150, akitoa hapo mil kadhaa utasogeza siku za mwanao.