Serikali yangu haijanitendea haki

Serikali yangu haijanitendea haki

jamani pole eeh, ela zilikuwa bize na BMK, hata za wale UKAWA hamna chenji, pia ESCROW akaunti imefilisi nchi, mabalozi wamegomea makabidhiano ya katiba, wahisani hawajatupa ela. nimekumbuka na zingine zipo kwenye mwenge. ushauri mfuate sita ana mil 150, akitoa hapo mil kadhaa utasogeza siku za mwanao.
 
jamani pole eeh, ela zilikuwa bize na BMK, hata za wale UKAWA hamna chenji, pia ESCROW akaunti imefilisi nchi, mabalozi wamegomea makabidhiano ya katiba, wahisani hawajatupa ela. nimekumbuka na zingine zipo kwenye mwenge. ushauri mfuate sita ana mil 150, akitoa hapo mil kadhaa utasogeza siku za mwanao.

Weee sita alitaka kutoa watu roho akiigombea shiingi hiyo hiyo.
 
Salamu sana.
Hapa nakaribia kupasuka kwa uhuni niliofanyiwa na bodi ya mikopo.
Imekuwaje mtoto wa mimi mkulima asipewr mkopo hata senti moja.

Kasoma shule za kidumu na mfagio tokea msingi hadi a levo.

Mtoto wa kike kajitahidi kapata div moja. Jkt kwa mujibu kaende. Leo wanasema eti budget exhausted.

Bado sijaelewa somo

Tena mi nalalamika kivyangu. Na wewe ulalamike yako.

.......... kwanini mmeuhamisha huu uzi wangu. Nataka ukae jukwaa la siasa..


Chanzo cha kuifilisi bajeti ya masomo ya juu kipo hapa.

Ishauri serikali ianze kutoa mikopo toka chekechea. Mi nashindwa kuelewa. Sekondari mnawalipia watoto wenu 2 millions and above. Inapokuja chuo kikuu mnasema hamna uwezo wa kuwasomesha watoto wenu. Haiwezekani hata kidogo. Tubadilike

 
We mamdenyi si mfia chama wewe!? Unalalamika nini tena!
 
Si lazima watoto wote waende chuo, kazi zenyewe hakuna ,, elimu ya form six inamtosha.. MPE MTAJI AJIAJIRI
 
Bodi ya mikopo inafanya vizuri kupunguza idadi ya wasomi.. Hii mitoto ikimaliza chuo inatusumbua sana kutaka ajira
 
Habari ya kazi Mamndenyi, pesa zimeisha wanaohtaji ni wengi kuliko uwezo wetu wa kukopesha, tunasikitika kukujulisha kwamba fungu tulilopewa na serikali limekwisha. Kumbuka wakati wa kujaza fomu kuna angalizo kwamba kujaza kwako fomu hakukuhakikishii mkopo, kama una malalamiko ya msingi unaruhusiwa kukata rufaa.
Tunashukuru sana kwa ushirikiano wako.
 
Back
Top Bottom