Mtanzania,
...........sio madhumuni yangu HATA SIKU MOJA kukuza/kuchochea migogoro.....kwa jumbe ninazoandika hapa.......sijui huo ujumbe wangu ni kwa vipi unakuza mgogoro!!......
well....siku hizi Tanzania ni mwendo wa kujuana kwa vilemba eeehh......anyhow......nilifikiri kuchangia kwangu hoja hapa, kwa namna moja au nyingine ni kusaidiana kimawazo...........i'm deeply sorry kama nimekukwaza.
Mkuu Ogah,
Nilikuwa sikusemi wewe na wengine ambao mnachangia kwa nia njema kabisa hapa JF. Ni wale ambao wanaenda kule na kutafuta kuna jungu gani kati ya hawa waheshimiwa.
Tuendelee kuchangia si ajabu wapambe wao wanawafikishia. Wakiona wananchi hatutaki huo ugomvi wao, labda watabadilika.
Samahani ujumbe wangu haukueleweka.